Recent content by ngota wa nzambe

  1. ngota wa nzambe

    Mazda cx-5 2013 diesel inauzwa

    Chuma ngumu sana hii
  2. ngota wa nzambe

    Mazda cx-5 2013 diesel inauzwa

    Gari iko Kibamba Dar es salaam Imetembea 138,000km Gari haina kipembele Bei: 29M Mawasiliano: 0657 750670
  3. ngota wa nzambe

    Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

    Huyu mwamba nadhani hajui hata scientific data zinapatikanaje! Hiyo Cohort study aliyoisema hajui data zake zinapatikanaje! Nimpe taarifa tu Hospitali zote ikiwemo JKCI, ni eneo sahihi kabisa la kukusanya data za kisayansi!
  4. ngota wa nzambe

    Masheni ya ct scan mloganzila imepona

    Baada ya Jamii forum kuripoti juu ya ubovu wa mashine hii, imetengenezwa
  5. ngota wa nzambe

    Utapeli wa Biashara za online

    Mimi huwa naangalia kwenye comments tu..pages za kitapeli utakuwa wamezima au ku restrict comment section! Au unaweza kukuta anacomment mtu mmoja tu, kwa kila post! Ukiona hivyo achana na page hiyo
  6. ngota wa nzambe

    Hospitali ya Taifa Muhimbili kutoisimamia tena Mloganzila, sasa Mloganzila kujiendesha yenyewe kuanzia Julai 2022

    Wewe nadhani umesikia tu kwa watu, na hao watu walisikia kwa watu! Tuna wagonjwa wengi tu, wanakuja bila fahamu, wanahudumiwa na kupona kabisa, baadhi pia hufariki sio kwa kukosa huduma, bali hatua ugonjwa wao ilikuwa juu sana kiasi kwamba isingewezekana kuzuia vifo vyao!
  7. ngota wa nzambe

    Hospitali ya Taifa Muhimbili kutoisimamia tena Mloganzila, sasa Mloganzila kujiendesha yenyewe kuanzia Julai 2022

    Hahaha..mimi binafsi najisikia poa tu, Ni kweli kumekuwa na changamoto za hapa na pale kwenye uendeshaji wa Hospitali hii, lakini karibia changmoto zote zinahusiana na ukosefu wa fedha tu! Wakati huo huo, majority ya watu wanaotusema vibaya, hawajawahi kutibiwa, wamesikia tu kwa watu! Ambao nao...
  8. ngota wa nzambe

    Volkswagen Golf - Mkombozi wa Wanyonge!

    Brake pads tu hapo, unazungumzia 240k
  9. ngota wa nzambe

    Phone4Sale For serious buyers only

    290k tu mzee..bei sawa na bure
  10. ngota wa nzambe

    Phone4Sale For serious buyers only

    Ni Brand ya simu, inaitwa poco m3
  11. ngota wa nzambe

    Phone4Sale For serious buyers only

    Simu inauzwa, ni Xiaomi Poco M3 RAM:4GB ROM: 64GB RESOLUTION:2040X1080(full HD) Camera:Nyuma 48mp Mbele:16mp Betri:6000mAh Simu imetumika miezi minne tu! Ni nzima haina Tatizo lolote! Unapewa pamoja na boksi na warranty yake.
  12. ngota wa nzambe

    Upgrading from Toyota ist to AUDI A4

    Mkuu, isije kuwa na wewe una "Unjustified fear" tu ya haya magari! Ngoja tuwasubiri wanao yamiliki watupatie uzoefu!
  13. ngota wa nzambe

    Upgrading from Toyota ist to AUDI A4

    Shukrani sana mkuu kwa ushauri, nitaufanyia kazi
Back
Top Bottom