Isaya 45
18 Maana Bwana, aliyeziumba mbingu, asema hivi; Yeye ni Mungu; ndiye aliyeiumba dunia na kuifanya; ndiye aliyeifanya imara; hakuiumba ukiwa, aliiumba ili ikaliwe na watu; Mimi ni Bwana, wala hapana mwingine.
Kata ya Buyuni – Mtaa wa Nyeburu, Barabara ya Mchimbo (Maarufu Kwa Baba Esther)
Sisi wananchi wa Kata ya Buyuni, Mtaa wa Nyeburu, tunapenda kuwasilisha taarifa ya kero inayotusumbua kwa muda mrefu katika eneo letu, hususan barabara ya Mchimbo maarufu kwa jina la Kwa Baba Esther.
Eneo hili...
Jana nimepigiwa simu nikachukue kitambulisho cha uanachana CCM, nikaenda. Cha ajabu ni kuwa picha waliyoiweka ni ya mwaka 2021 na niliyotumia kujaza form kwenye taasisi fulani. Na wamesaini wao wenyewe. Sahihi waliyoweka wameshindwa kuinakili kama ilivyo yangu.
Umeniumiza sana kuona taarifa...
Kwa mfano hiki toka namba ilipotumwa ilikuwa haifanyi kazi. Baada ya kuchukua kitambulisho halisi kijana huyu kakihifadhi kwenye bag hakifanyi kazi. Ni miaka kadhaa toka akichukue.
Itakuwa Chanika ya Tanga.
Chanika ya Ilala usafiri masaa 24.
Na ina wahamoaji wengi sana, ni mchanganyiko wa makabila. Serikali imelijua hilo huduma zote muhimu zipo pale. Bahati nzuri nimeizunguka sana Chanika wakati natafuta maeneo.
Utoto mzigo kweli.
Ujinga huo huo nilikataa kununua eneo Kinyerezi kisa eti siwezi kununua sehemu yenye Kima wengi. Leo hii Kinyerezi ikoje.
Unapo kuona kuna maendeleo kulikuwa shamba. Utakaa kwa mama mpaka lini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.