Mambo mengi yalitokea ktk asili(nature) na habari nyingi hazifahamiki, lkn nyingi ziliweza kufahamika kwa njia mbalimbali
1. Kwa njozi na ndoto (maono) kwa watu wenye upeo!
2. Dhahania
3. Mapokeo ya kiunabii (vitabu vitakatifu) na njia nyinngine nyingi zinazofanana na hizo. Kwa ujumla njia...
The subject matter you presented Does not match with the conclusion you made upon!
Who is Wasira your talking about Try to reconciled!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Waziri alitakiwa kueleza uzembe umefanyika wapi,vipi?
Na ni hatua gani kwa wote walohusika zimechukuliwa ?
Angetoa deadline lini itakuwa imepetikana.
Na hatimae kuomba radhi jumuiya ya wana Malasia na Dunia kwa ujumla kwa uzembe na upotevu wa roho za watu wasio na hatia!
Jumuia ya kimataifa...
Huyu mtu J.W. Malecela sijamuelewa kabisa kama hoja yake1.kuomba radhi kwa uma kwa niaba ya Mh. Kapuya angeomba radhi tuu
2. Kama ni kutoa uthibitisho wa Mh. Kapuya kutohiusika angefanya hivyo
3. Kama Nikuthibitisha kuhusika angefanya hivyo pia
4.laa kujisifia Kuwa yeye ni Mtu mwenye siri...
Hili binafsi sijalifurahia kwani ni ni mpenzi wa TBC habari sijaona mpaka magazetini.habari kiundani nimezipata hapa JF!
Huo Sio uzalendo habari kwa Manufaa ya wananchii!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Binafsi naona zitto ametimiza wajibu,bila kujali umaarufu wa vyama! Bila kuhofu chama chake Kuwa miongoni mwa vyama ambavyo havikuwajibika.
Lkn pia kwa Kuweka ubayana wa udhaifu wa ofisi ya msajili wa vyama,kadhalika kutowajibika kwa ofisi ya mkaguzi mkuu wa mahesabu ya mashirika ya Umma...
Hbari hii imetangazwa na channel nyingi lkn kwenye TBC sijasikia zaidi ya kipindi cha magazetini kunani?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Tanzania tungeweza kuendesha nchi na tukapiga hatua pasina Ufisadi wizi rushwa,ukabila na udini! Kadhalika kuuepuka umasikini uliokithiri!#Nyerere day!
Tanzania tungeweza kuendesha nchi na tukapiga hatua pasina Ufisadi wizi rushwa,ukabila na udini! Kadhalika kuuepuka umasikini...
Je una uhakika gani juu ya suala hilo? Ungeona walimu wakipiga soga na watoto wakafauulu ungesema nini? Umechukua hatua gani zaidi ya kupost humu jf? Shule inabodi, DEO wa halmashauri.
Lakini hata mkurugenzi mtendaji pia ni mdau muhimu! Kwa ushauri jiamini peleka malalamiko yako hayo kwa...
Ndugu zetu walishindwa kutumia fursa hiyo kumhoji Nchemba kwa niaba ya chama chake:
Maswali kama!
1.Kwa nini nchi bado haijanufaika na wingiwa rasilimali zilizopo?
2.kwa nini serikali haioni shidaa kusaini mikataba yakiwekezaji isiyonatija kwa taifa?
3.kwa nini serikali inaongoza Chombo km...
Mimi nilidhani hawa ndugu zetu Usalama wa Taifa ni waadilifu mno na wazalendo. Nimestaajabu kuoma Mwakyembe akiitaja na kuishuku idara hii nyeti muhimu nchini! Kwa nchii hii uadilifu umeshaexpire!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Nilikuwa na mentality yakubeza hata masomo nikiwa mdogo nikapaform vema science,nikachaguliwa special schools O-level&A-level,Kwa bahati mbayasikusoma udzm.lakini mentality hiyo haikunisaidia maisha niyaleyale mishahara ni ileile,haina maana kwa ujumla unakimbizwa na lecture&Professors wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.