Recent content by ngoshakolya

  1. N

    Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

    Pambaf kabisa hawa kenge iko siku watajua uzuri na umuhimu wa muungano
  2. N

    Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

    Mtu mzima hovyo! Kwa akili zako hizo za kenge unahisi ni wangapi wenye tabia hizo wako huku jf
  3. N

    Watamsingizia tena Magufuli? Udiwani washindwa kata zote

    Hao ni kenge taarab nyingi wenzao wanapiga kazi
  4. N

    Misafara na vimulimuli: Ushamba wa kisiasa

    Umesema kweli make juzi kati hapa naibuwaziri mkuu akitoka Chato kwenye misa ya mzee jiwe magari yalizuiwa kwa takribani saa mbili kitu kilichotumiza sana sisi wasafiri
  5. N

    Barua kwa Rais Samia kuhusu kashfa za Balozi Mteule wa Rwanda nchini Tanzania, Jen. Patrick Nyamvuba

    Asante kwa kunifungua kwa kuwa mimi ni miongoni mwao wengi ambao kimsingi hatukuja sababu za kuuwawa kwa kabila mkubwa
  6. N

    Rais Samia analalamikia wezi wapi wa pesa za Serikali? Aliowasamehe?

    Sina hakika kama nikimsikia vizuri anasema ndugu zake ni waarabu wa shy nawapi vile
  7. N

    Serikali ya Awamu ya 4 ya Jakaya Kikwete ndio ilithubutu Kuwafunga Jela Mawaziri na Makada wa CCM Mafisadi!

    Kama jiwe asingeondoka mapema amini nakwambia angeivunja rekodi hiyo ya mzee wa msoga.
  8. N

    Lazaro Nyalandu, Mwanaccm pekee aliyepinga Udikteta wa awamu ya 5 kwa vitendo

    Hapo ndio najaribu kujiuliza mtu sahihi wa kuusaidia Tanganyika sijui atatoka sayari GANI
Back
Top Bottom