Mimi nilifikiri jamii forum kuna members wanaweza kujenga hoja ambazo zitaleta mijadala humu badala yake humu wapo wengi wanaleta ushabiki wa kiasiasa tu, ambapo halikuwa lengo la kuanzisha Jamiiforums
Huyu MTU ameleta kero take humu, badala ya kusolve problem yako, mnamuongezea tatizo KBS, inaonekana jamii forum baadhi ya watu hawajui mini maana ya kuwa member was jamii forum, hili ni group la watu wenye akili yaani think tank group. Any way, Mimi ni WAKILI wa mahakama kuu, nitafute...
Unajua jamii forum imekuwa na members kwenye mlengo wa kisiasa tofauti sana, hatutegemei kupata logical arguments humu, badala yake kauli za kuudhi na kudhalilishana zitawala humu.
Mimi nilishawaambia watu humu kuwa hana mbinu za kuisaidia Chelsea kushinda makombe, aondolewe tu, hamna namba nyingine. Hata mchezaji wa juventus chellini, amedai kuwa conte huwa anawapa mazoezi magumu ni sawa na kifo KBS, ndiyo maana wachezaji wengi majeruhi
Aiseee, hii thread ya hovyo mno, yaani unajadili marehemu atazikwa kwa dini gani, wewe ni familia ya kingunge? Hebu tuweni ni busara kidogo, hili so suala la kujadili humu, au kama unataka nenda nyumbani kwa marehemu ukazunhumze nao. Hivi kizazi cha sasa kina mini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.