Nimekua nikipata tuhuma kwa jamaa zangu wanaotumia tigo kuwa mbona sijiungi na tigo ili niwe karibu nao lakini roho yangu imekua nzito sana sasa nawaambia kwa haya ndio HAMTANIONA KAMWE KWENYE LIMTANDAO LENU....!
nahitaji mke wa kufunga nae ndoa, awe na umri kati ya miaka 23-28, awe muslim anaemuogopa Mungu, awe anajitambua, anaejua thamani ya ndoa n.k.... niPM utajibiwa haraka
NB. kabila yoyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.