Vijana 2 wanatafuta kazi

Vijana 2 wanatafuta kazi

Joined
Sep 18, 2015
Posts
6
Reaction score
1
Kazi yoyote iliyo halali na isiyokiuka misingi ya haki za binadamu. Ni vijana wa kiume.

NiPM au tuwasiliane kwa namba 0759708720.

Wapo Shinyanga
 
Wana elimu gani? tabia zao? wanataka kazi za ofisini au hata za shambani? mshahara minimum ni kiasi gani wanahitaji
 
Nahitaji vijana wawili kwa ajili ya kulima shamba, Je wanaweza?
 
Back
Top Bottom