Upuuzi mtupu, huko hakuna pembe za ndovu au ameona tembo wamepungua anataka ahamie kwa wale SOKWE wetu walioko Gombe na Mahale? hii hatari sana au kwa vile yeye so mtanzania?
Acha upumbavu mtu anaposema ukweli unasema upuuzi MWIGULU anapoongea upuuzi unashangilia funga domo lako na kama huna hoja funga domo lako htutaki tena kuona ushenzi wako,
Nina wasiwasi na akri yako au ni wewe unaetafutwa umetoroka milembe? Haya olewa sasa na Hao waume wako zito na lowasa na cjui utawahudumiaje maana wote ni mizigo
Hao polisi sio wantanzani tusubili tutakapopata askari wa kitanzania wenye uzalendo na nchi yao wanaojua shida za watanzania ndipo haki itaanza kupatikana kwa wanyonge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.