Recent content by ngoreme13

  1. N

    Jiji la Dar Es Salaam

    Limefanyaje? tunataka taarifa acha longolongo kijana hapa jamvini.
  2. N

    Madiwani Chadema walipuana.

    Mh! jaman msaidien dada yetu nafkl hamjamwelewa! ANATAFUTA MCHUMBA. Labda awe anajaribu kuwa wazi.
  3. N

    Jina la mtoto wa kike linaloanzia na herufi "C"

    Nimeyapenda sana,npe siri ya majina hayo.
  4. N

    Jina la mtoto wa kike linaloanzia na herufi "C"

    majina yanayoanza na heruf C. CALTAS,CARLOS,CATRESS,CATHRICIA,CAREEN, CAROLINE,CATHELINE.
  5. N

    Shule ya Ilboru yafungwa

    Mbona wanaifunga shule yetu, kulikoni? sidhan kama kuna shule yenye mazingira mazuri ya kusome kama hii nilifuhia mwanzo mwisho.
  6. N

    Mkoa gani ni mzuri kuishi?

    popote pale, maisha ni wewe utakae amua kulingana na kpato chako na bidii ya kutafuta.
  7. N

    Dawa ya kukufanya usipigwe risasi na majambazi ,usikabwe na vibaka hii hapa

    kama imedhibitiswa ihalalishwe na maduka yafunguliwe mengi mikoani.
  8. N

    Dawa ya kukufanya usipigwe risasi na majambazi ,usikabwe na vibaka hii hapa

    mh! jaman hiyo kubwa, je inahusiana na uchawi?
  9. N

    Mtambo wa Dawa za kulevya waingizwa nchini, upo Mbezi Beach!

    Vijana tutakwisha tusipo jitambua na haya madawa.
  10. N

    Mtambo wa Dawa za kulevya waingizwa nchini, upo Mbezi Beach!

    Jaman sasa mambo pande zote yamehalibika,kwa kuwa watendaj walio wengi ndo wanazivunja sheria na kwa hali hiyo UOVU hautaisha.
Back
Top Bottom