Recent content by ngongoti70

  1. N

    Nape: Kingunge afanye anachotaka

    Kueneza propaganda kwamba kuondoka kwa Lowasa kutaleta mpasuko ndani ya chama si kweli..kama kungekuwa na mgawanyiko tungeona pale zilipopigwa kura na mmoja wa wagombea kuibuka kidedea kwa ushindi wa 82%..unaanzaje kusema Kuna mpasuko hapo!?#kwa mara ya kwanza ccm wamempata mgombea katika duru...
  2. N

    Nape: Kingunge afanye anachotaka

    ni kweli kabisa..chama si cha mtu mmoja,kulazimisha kujenga hoja za kitoto eti chama kitasambaratika ni uvivu wa kufikiri..chama kwanza mtu baadae!
  3. N

    Nimetukanwa na mke wa jirani yangu!!!

    ni ngumu kudhibiti hisia za mtu hasa akiwa mume ama mke kwenye tukio kama hilo..mwambie mshikaji kuwa mkewe kakosea!
Back
Top Bottom