Recent content by Ngonalugali

  1. Ngonalugali

    Ndugu Lema; taarifa za utekwaji "MO" zilete Central; Kufanya mkutano hauruhusiwi kisheria na utakamatwa

    Kwa wenzetu likitokea tukio kama hutumia njia zote ili kujenga mazingira ya kuzuia matukio ya namna hiyo, sisi kwetu matukio yanafukiwa kanakwamba hayakutokea. Acheni watu walioguswa waseme itasaidia kupata ufumbuzi wa tatizo hilo
  2. Ngonalugali

    Wanawake wanaojiuza, si wale tu wanaosimama barabarani na kwenye baa

    Naona ishakuwa WW3 ......mi sio mtu wa namna yako. Aliyetangaza papucci inamlipa kama saccoss na baadae anakasirika kuhalalisha. N'way nina mradi wa ujenzi wa casino ya kisasa nitaomba uwe meneja wa mradi, ni ombi tu na ukiridhia ni pm.
  3. Ngonalugali

    Wanawake wanaojiuza, si wale tu wanaosimama barabarani na kwenye baa

    hiyo ni kwa mawasilianoo tu yaani ukisikia fyuuu ama druuuu basi ujue mtu kashiba. Unajua sipendi biashara holela unayofanya ni vema tukaunda saccoss kwa hicho kipochi manyoya chako kwani huna hiyana. Mi dalali na ukipata wenzako nawashauri muunde chama na napendekeza kiitwe CHAWAKU (chama cha...
  4. Ngonalugali

    Hivi wapo mabikra kuanzia 30yrs na kuendelea?

    Mimi nilikutana nayo mhusika akiwa na miaka 32. Baadae nikajashtuka ana motto mkubwa, sijui mtoto alimjamba ama aliingilia wapi???? Kuna ku-overhaul machine
  5. Ngonalugali

    Asante mpenzi wangu wa zamani

    Pole sana Maasai dada, njoo kwangu mimi sitakutenda.
  6. Ngonalugali

    Kwa nini mwanandoa unaficha ficha simu

    Simu ni private, lakini kwa wapendanao hakuna haja ya kuficha ama kuwekeana mipaka. Ila kama inawezekana si vizuri kuchukua simu ya mwenzio kwa ajili ya kuichunguza. Uaminifu katika mapenzi ni jambo jema sana inapendeza kila mmoja kuwa kwa mwenzake badala ya kuwa na mashaka. mashaka huletwa na...
  7. Ngonalugali

    Hii ni kwenda na wakati ama maharage ya Mbeya?

    Bebii nambie. Ni mm peke yangu najua ila usisahau w'end hii tutakuwa California Dreamer. Uje na yule shogaako anayechanganya bia. Huwa sichoki kukaa nae
  8. Ngonalugali

    Hii ni kwenda na wakati ama maharage ya Mbeya?

    Nitonye hata kwa pm. Je, wewe ni ke ama me??
  9. Ngonalugali

    Wanawake wanaojiuza, si wale tu wanaosimama barabarani na kwenye baa

    mimi dalali tu aka kuwadi mkuu. Hakuna mtu kupata papucci mpaka awe amelipa dola. Inabidi kuweka viwango vizuri ili tutengeneze pesa nzuri. Hii inatakiwa ifunguliwe mapema kabla ya serikali kulasimisha biashara na kututaka tulipe kodi. Wakati serikali inashtuka sisi tulishazichanga za kutosha na...
  10. Ngonalugali

    Hii ni kwenda na wakati ama maharage ya Mbeya?

    Hilo la kuwa na boy wake mmoja nina mashaka nalo!!!! uwe na boy mmoja afu ukiitwa na mwanamme yeyote yule unaitika na katika mazingira yoyote. Iwe hotel ataenda, iwe barabarani ataenda ilimradi anajua jamaa ana change
  11. Ngonalugali

    Hii ni kwenda na wakati ama maharage ya Mbeya?

    Nitumie jina lake kwenye pm inawezekana sote tunamjua.
  12. Ngonalugali

    Ujumbe Kwa Wanawake mnaojiona wazuri

    Uzuri ni kama maua, kuna muda wa kuchanua na muda wa kufifia, ngoma ikipigwa saaana mwisho tobo kubwa hutokea. Thamani kubwa ya mwanadamu ni pamoja na heshima ya mwili wake. Miss Chawote ni jamvi la wageni, unakula kasha unafuta mdomo. usitake kujipaka michuzi. hakuna papuchi ya mrembo wala ya...
  13. Ngonalugali

    Wanawake wanaojiuza, si wale tu wanaosimama barabarani na kwenye baa

    Natamani kukujua ili niwe wakala wa hiyo papucci yako. Nikiwa dalali nitatengeneza pesa za kutosha na wewe utakuwa bilionea kuliko hata Bakhresa kwani nitakuuza kimataifa. Ni pm nikupe dili
  14. Ngonalugali

    Hii ni kwenda na wakati ama maharage ya Mbeya?

    Unafikiri neno gani ni zuri kutumika hapo?? Sijakusudia kumtukana ila naona kama mwenendo wake unatia mashaka
  15. Ngonalugali

    Mahusiano na Mitandao ya Jamii

    Asante kwa maombi yako nami naamini katika sala. Sikuwahi kuwa zoba katika mapenzi ila hili limenifunza kitu flani. Siku zoote nilikuwa naamini kuwa watu huwa wanaachwa kwa kutowajali wapenzi wao kumbe mengine ni manungayembe tu, yako mjini ku-test ladha tofauti. Ukimuona usoni utadhani...
Back
Top Bottom