Kijiji cha Lunguza
Kata ya Lunguza
Wiraya ya Lushoto
Mashamba yapo
0772582186, bei Kati ya laki na nusu, laki mbili mpaka laki tatu kutegemeana na shamba , yapo ya kumwagia kwa pump na yapo ya kutumia maji yanayotoka mlimani bila pamp ,
Umeenda mbali mno, hii forum kila mtu ana Hela, anapush ndinga Kali na mindset kubwa, Sasa wewe jichanganye wakuonyeshe ,mimi napita 🏃tu kazi yangu kusoma comment tu,
Vijana wengi wanamaono makubwa na wapo tayari il tatizo mitaji, utasema anza na kidogo ulichonacho changamoto iliopo ni mahitaji yakila siku ili mtu uishi na unakula ichoicho kimtaji unafikiri utafika wapi, zaidi kufanya kazi kwa wahindi kulipwa 5000 kwa siku ambayo kula haitoshi,
Habari? Nipo mji wa ugenini kwajili ya utafutaji, na eneo lina frusa kubwa ambazo Mimi ni ndoto yangu kubwa ya mda mrefu na naona nikiwekeza hapo nitafikia Malengo kwa mda mfupi, ila wenyeji wangu nikikwazo kikubwa
Wanaamini mgeni kaja kuleta ushindani na tamaduni zingine, na hata ukitaka...
Nipo eneo ambalo maji yapo majira yote ya mwaka yanatoka mlimani sio yakuvuta na pampu mazingira rafiki kwa ufugaji wa samaki na kilimo , kijiji Cha Lunguza wiraya ya lushoto Tanga njoo ujionee mwenyewe 0772582186,
Mwenye wito na kilimo, Njoo ujionee mwenyewe Tanga wiraya ya lushoto Kijiji cha Lunguza mashamba yapo maji mwaka mzima yapo , km 130 kutoka Tanga mjini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.