Recent content by ngomax

  1. N

    JamiiForums Tanzania Kuwa tajiri ni kucheza na wakati, eneo, bidhaa na fursa

    Mkuje huku mwingine kaendeleza
  2. N

    JamiiForums Tanzania Hii ni Lushoto Karibu kwa uwekezaji wa KILIMO Cha umwagiliaji mda wote,

    Kijiji cha Lunguza Kata ya Lunguza Wiraya ya Lushoto Mashamba yapo 0772582186, bei Kati ya laki na nusu, laki mbili mpaka laki tatu kutegemeana na shamba , yapo ya kumwagia kwa pump na yapo ya kutumia maji yanayotoka mlimani bila pamp ,
  3. N

    JamiiForums Tanzania Mwanaume timamu unaendesha IST, unaringa kabisa; unashusha na kioo badala ya kujificha

    Umeenda mbali mno, hii forum kila mtu ana Hela, anapush ndinga Kali na mindset kubwa, Sasa wewe jichanganye wakuonyeshe ,mimi napita 🏃tu kazi yangu kusoma comment tu,
  4. N

    JamiiForums Tanzania Orodha ya nchi za Afrika zinazongoza kuwa na Sarafu yenye thamani kubwa

    Muuza karanga tena katoka wapi? Acha dharau wewe ndio tatizo lenyewe,
  5. N

    JamiiForums Tanzania Tafuta pesa Kwa nguvu, dunia ni katili Kwa maskini

    Vijana wengi wanamaono makubwa na wapo tayari il tatizo mitaji, utasema anza na kidogo ulichonacho changamoto iliopo ni mahitaji yakila siku ili mtu uishi na unakula ichoicho kimtaji unafikiri utafika wapi, zaidi kufanya kazi kwa wahindi kulipwa 5000 kwa siku ambayo kula haitoshi,
  6. N

    JamiiForums Tanzania Unaweza vipi kuishi sehemu ambayo wenyeji wanawapiga vita wageni?

    Habari? Nipo mji wa ugenini kwajili ya utafutaji, na eneo lina frusa kubwa ambazo Mimi ni ndoto yangu kubwa ya mda mrefu na naona nikiwekeza hapo nitafikia Malengo kwa mda mfupi, ila wenyeji wangu nikikwazo kikubwa Wanaamini mgeni kaja kuleta ushindani na tamaduni zingine, na hata ukitaka...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu ameomba nimuoe mke wake?

    Uhai unapangwa na mungu sio binadamu haijarishi nini
  8. N

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu ufugaji wa samaki aina ya sato kwa vizimba(Tilapia fish farming)

    Nipo eneo ambalo maji yapo majira yote ya mwaka yanatoka mlimani sio yakuvuta na pampu mazingira rafiki kwa ufugaji wa samaki na kilimo , kijiji Cha Lunguza wiraya ya lushoto Tanga njoo ujionee mwenyewe 0772582186,
  9. N

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mashamba karibu na mto, ziwa au bwawa lisilokauka mwaka mzima, kuanzia hekari 5-40

    Mwenye wito na kilimo, Njoo ujionee mwenyewe Tanga wiraya ya lushoto Kijiji cha Lunguza mashamba yapo maji mwaka mzima yapo , km 130 kutoka Tanga mjini
  10. N

    JamiiForums Tanzania Hivi Mwanaume unakuwaje mtu unayeshinda umelala tu!?

    Wazazi wa kizazi hichi wanachangia huo ujinga, mtoto kamaliza chuo Bado unamlea kama wa chekechea
Back
Top Bottom