Recent content by ngomax

  1. N

    JamiiForums Tanzania Shemeji yangu amegushi muhtasari wa ukoo wa mirathi

    Mbona kama unaomba ushauri huku unamajibu tayari yako kichwani,
  2. N

    JamiiForums Tanzania Japo Tanzania na Zanzibar ni Nchi Moja, Lakini Kwenye Utoaji wa Haki, Zanzibar Wametupiga Bao!, Wameanza Mchakato wa Kuelekea Kwenye Smart Justice

    Nipo Pemba now , ivi hizi barabara zinazojengwa na kampuni ya Iris, kila chocho kiwango Cha rami , Unguja nako vilevile, atujapigwa kweli wa bara,?
  3. N

    JamiiForums Tanzania Swali gani la darasani ukiulizwa hata ukiwa umeamka usingizini huwezi kukosa?

    Tafuta thamani ya x
  4. N

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Tarime TC tunakopwa kusimamia Mitihani ya Mock kisha tutalipwa baada ya miaka miwili

    Hahaha! kweli, ila mimi sio mwalimu nipo zangu nachoronga miamba huku Wete,
  5. N

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Tarime TC tunakopwa kusimamia Mitihani ya Mock kisha tutalipwa baada ya miaka miwili

    Acha kudharau kazi za watu hata kama wewe upo juu, ulimbukeni unakusumbua , kasumba ya kujifanya unajua kila kitu hilo ni Moja ya tatizo la afya ya akili,
  6. N

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Tarime TC tunakopwa kusimamia Mitihani ya Mock kisha tutalipwa baada ya miaka miwili

    Punguzeni itifaki basi, kuchamba kwingi mwisho wake kuondoka na ............, Sioni kosa la mtoa mada, mwambieni Melo, aweke vigezo kuwa member wa Jf mpaka uwe na sifa zipi? Oja nzito ni zipi? acheni ushamba kuona kila kitu wajua wewe na kudharau wengine, mimi nakuona limbukeni tu...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    Nimejikuta nasoma wote kutoka 1-13 mpaka giza , ujinga tu!!! , natafuta namba ya mwajuma kumbe nilisha ifuta na kujiapiza sifanyi tena,
  8. N

    JamiiForums Tanzania Tatizo la afya ya akili linavyomaliza wengi kimyakimya

    Mtu akifa kwa kujinyonga ni ubinafsi mkubwa inabudi kuchapwa viboko hata kama kafa, kwa sababu unajiangalia wewe kuliko unao waacha , mtu akifa kafa hata ajitambui maumivu kwa wanao baki
  9. N

    JamiiForums Tanzania Hizi project zinazo endelea Pemba zipo Kasi sana kipindi hichi?

    Nimepata safari ya kikazi kwenda Zanzibar kisiwa Cha Pemba , safari yangu ilianzia Tanga na boti ya Zanzibar 3 safari ilikua ya lisaa 1 ,nilicho jionea Pemba Ina miradi mingi sana ya serikali inatekelezwa awamu hii barabara kila mtaa kiwango Cha rami , shule za golofa , na inaenda kwa kasi...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Kuwa tajiri ni kucheza na wakati, eneo, bidhaa na fursa

    Mkuje huku mwingine kaendeleza
  11. N

    JamiiForums Tanzania Hii ni Lushoto Karibu kwa uwekezaji wa KILIMO Cha umwagiliaji mda wote,

    Kijiji cha Lunguza Kata ya Lunguza Wiraya ya Lushoto Mashamba yapo 0772582186, bei Kati ya laki na nusu, laki mbili mpaka laki tatu kutegemeana na shamba , yapo ya kumwagia kwa pump na yapo ya kutumia maji yanayotoka mlimani bila pamp ,
  12. N

    JamiiForums Tanzania Mwanaume timamu unaendesha IST, unaringa kabisa; unashusha na kioo badala ya kujificha

    Umeenda mbali mno, hii forum kila mtu ana Hela, anapush ndinga Kali na mindset kubwa, Sasa wewe jichanganye wakuonyeshe ,mimi napita 🏃tu kazi yangu kusoma comment tu,
  13. N

    JamiiForums Tanzania Orodha ya nchi za Afrika zinazongoza kuwa na Sarafu yenye thamani kubwa

    Muuza karanga tena katoka wapi? Acha dharau wewe ndio tatizo lenyewe,
  14. N

    JamiiForums Tanzania Tafuta pesa Kwa nguvu, dunia ni katili Kwa maskini

    Vijana wengi wanamaono makubwa na wapo tayari il tatizo mitaji, utasema anza na kidogo ulichonacho changamoto iliopo ni mahitaji yakila siku ili mtu uishi na unakula ichoicho kimtaji unafikiri utafika wapi, zaidi kufanya kazi kwa wahindi kulipwa 5000 kwa siku ambayo kula haitoshi,
Back
Top Bottom