Acha kudharau kazi za watu hata kama wewe upo juu, ulimbukeni unakusumbua , kasumba ya kujifanya unajua kila kitu hilo ni Moja ya tatizo la afya ya akili,
Punguzeni itifaki basi, kuchamba kwingi mwisho wake kuondoka na ............,
Sioni kosa la mtoa mada, mwambieni Melo, aweke vigezo kuwa member wa Jf mpaka uwe na sifa zipi?
Oja nzito ni zipi? acheni ushamba kuona kila kitu wajua wewe na kudharau wengine, mimi nakuona limbukeni tu...
Mtu akifa kwa kujinyonga ni ubinafsi mkubwa inabudi kuchapwa viboko hata kama kafa, kwa sababu unajiangalia wewe kuliko unao waacha , mtu akifa kafa hata ajitambui maumivu kwa wanao baki
Nimepata safari ya kikazi kwenda Zanzibar kisiwa Cha Pemba , safari yangu ilianzia Tanga na boti ya Zanzibar 3 safari ilikua ya lisaa 1 ,nilicho jionea Pemba Ina miradi mingi sana ya serikali inatekelezwa awamu hii barabara kila mtaa kiwango Cha rami , shule za golofa , na inaenda kwa kasi...
Kijiji cha Lunguza
Kata ya Lunguza
Wiraya ya Lushoto
Mashamba yapo
0772582186, bei Kati ya laki na nusu, laki mbili mpaka laki tatu kutegemeana na shamba , yapo ya kumwagia kwa pump na yapo ya kutumia maji yanayotoka mlimani bila pamp ,
Umeenda mbali mno, hii forum kila mtu ana Hela, anapush ndinga Kali na mindset kubwa, Sasa wewe jichanganye wakuonyeshe ,mimi napita 🏃tu kazi yangu kusoma comment tu,
Vijana wengi wanamaono makubwa na wapo tayari il tatizo mitaji, utasema anza na kidogo ulichonacho changamoto iliopo ni mahitaji yakila siku ili mtu uishi na unakula ichoicho kimtaji unafikiri utafika wapi, zaidi kufanya kazi kwa wahindi kulipwa 5000 kwa siku ambayo kula haitoshi,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.