Recent content by NGOLO Jr

  1. NGOLO Jr

    Niite nititike kwa faida

    Upatikanaji wa pumba laini za mpunga kwa bei nzuri Weka oda kwa mawasiliano 0787321373
  2. NGOLO Jr

    SAFARI YA GIZANI KUFIKA MAJALIWA...

    Nchi yoyote ile duniani hutegeme wafanyabishara kulipa kodi ili kuborsha baazi ya huduma za kijamii Wilaya ya kilombero inachangia pato la taiga kwa mwaka kutokana na vyanzo vyake vyake vya mapato hususani zao la mpunga. Ila hapa zana imekuwa tofauti kwani zao moja ushuru mara mbili yani ginia...
  3. NGOLO Jr

    Hi

    Karibuuuuuuu
  4. NGOLO Jr

    Nchi ya viwanda bila misitu?

    Mazara ya hizo nchi siumeona
  5. NGOLO Jr

    Nchi ya viwanda bila misitu?

    Tunaposema nchi ya viwanda tunatizama mambo mengi ya kimsingi ambayo ni muhimu kwa jamii na kwa dunia pia. Huwezi kuwa na sera ya viwanda halafu ukashindwa kusimamia misitu lazima utakuwa mtu wa hovyo. Tuitizame Shinyanga ilivyo jangwa. Leo Morogoro bila Mbunge, Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya...
  6. NGOLO Jr

    TFF imejiandaa vyema na afcon??

    Naingalia taifa stars kwa jicho la tatu kuelekea afcon misri, Niukweli usiofichika baadhi ya ligi barani ulaya zimeshatamatika na zingine zipo hatua ya mwisho lakini bado najiuliza TFF nimaandalizi yapi wameanza nayo kuhakikisha wanaandaa mfumo wa ushindani kwa vijana wetu au maandalizi yanaanza...
  7. NGOLO Jr

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Huku ifakara nishida has a unapokuwa na tatizo maeneo ya viwandani mafundi has a wale wa EMEGENCE nitatizo
  8. NGOLO Jr

    UMRI MDOGO WA MADARAKA NICHANZO CHA KUWA NA KIBURI

    Wewe nani????? Unashindwa kujua kauli zako za kiburi sio lolote mbele ya mungu? Au umesahau ulipokalia walikuepo watu na busara zao walikuapo na walikuwa na kauli za kujenga taifa. Cheo ni zamana tu wapo wanamadaraka makubwa tofauti na wewe tena hata zarau na kiburi hawana """"HESHIMU KATIBA...
  9. NGOLO Jr

    Muhtasari wa kilimo cha baadhi ya mazao jamii ya kunde

    IFAKARA zinahitajika being dani
  10. NGOLO Jr

    SIKILA NENO FURUSA AONYESHE MGENI

    Tatizo letu watanzania tumekalia umbea mganda anatumia msiba wa dr mengi kutengeneza fursa za kuuza beji zenye picha ya hayati dr mengi ilihali sisi tulienda kushangaa jeneza na kuangalia nani kapendeza R. I. P mzee wa fahari ya wanyonge #DR MENGI
  11. NGOLO Jr

    Macho na masikio yapo kanisani ufufuo na uzima kwa bishop Gwajima

    Tatizo baazi ya wschungaji wamechanganya dini na siasa sishangai yanayomkuta gwajima na kanisa lake ingawa mbele ya macho ya kibinadam umejaribu kujitetea lakini mbele ya mungu wewe ni mwema????
Back
Top Bottom