Recent content by Ngoda95

  1. Ngoda95

    PostGE2025 Kesi ya Ugaidi ina Dhamana? Kwanini Viongozi wa CHADEMA wamepata Dhamana? Kuna presha ya maridhiano?

    Yeye pamoja na viongozi wenzie wameshtakiwa kwa Kosa hilo katika mahakama gani hapa Tanzania?
  2. Ngoda95

    PostGE2025 Kesi ya Ugaidi ina Dhamana? Kwanini Viongozi wa CHADEMA wamepata Dhamana? Kuna presha ya maridhiano?

    Ni lini amesomewa hilo shtaka la Uhaini? It was just tuhuma za Polisi, hajapelekwa Mahakamani kwa Shtaka lolote so far, hivyo kusema kwamba kapata dhamana kwenye Shtaka lisilo na dhamana ni kujipotosha. It was just a mere hearsay haikuwa rasmi kuhusu Shtaka gani atakaloshtakiwa nalo. Hata...
  3. Ngoda95

    TANZIA Rest in peace Valentina (JF Member)

    Mkuu za kitambo? Tupo msibani, ashukuriwe Mungu tunapoteana lakini bado tunakutana akaunti zetu zina type.. Kitambo sana senior.
  4. Ngoda95

    TANZIA Rest in peace Valentina (JF Member)

    Mnoo yaani nimesikitika kuna ahadi yangu kweke sikuwa nimeitimiza. Anyway nitatafuta namna bora kwa kadiri Mungu atakavyo niwezesha ili niitumize.
  5. Ngoda95

    TANZIA Rest in peace Valentina (JF Member)

    Apumzike kwa amani Valley binti mkarimu na Mpole sana. Nitaimiss ile sauti yake ya upole yenye utulivu mwingi. Aliunganisha wana JF wengi, alijali shida za wengine.
  6. Ngoda95

    Kufungiwa kwa JamiiForums Tanzania: Salaam za shukrani na mwelekeo...

    Hongereni sana kwa kusimama imara. Vita hizo ni ishara kwamba hamjatusaliti, taarifa zetu zipo salama na hamuingiliki katika angle hiyo. Tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu chenye majaribu mengi, free speech will always win.
  7. Ngoda95

    Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Mliingizwa kwenye mfumo, wakajiaminisha kwamba tayari mmekuwa wakwao sasa mkifanya yasiyowafurahisha huwa wanafura kwa hasira. Kwa sasa wapo wengi miongoni mwenu machoni ni wenzenu lakini gizani na kiushirika sio wenzenu.
  8. Ngoda95

    Kuna njia nyingine naweza pata mkopo wa hazina bila kupita halmashauri?

    Huyo mratibu wa Mikopo unayemshauri amalizane naye ndio mtaka Rushwa na au kinara wa Kuratibu syndication yao. Kamati inayopitia maombi hayo huwa wanatawaliwa na ubinafsi na pia huangalia wale walio karibu yao zaidi na Mara nyingine hutoa kipaumbele kwa wale Watoa rushwa. Kama mshahara wake...
  9. Ngoda95

    Kuna njia nyingine naweza pata mkopo wa hazina bila kupita halmashauri?

    Subiria Mwaka Ujao wa Fedha. Na jinsi ilivyo ni lazima Halmshauri husika ihusike kwenye sehemu yake. Tatizo huko Kwenye mahalmashauri mnakunjiana sana na pia mikopo hiyo inatawaliwa na Lobbying, Syndicate Pamoja na Rushwa kwa baadhi ya Ma HR.
  10. Ngoda95

    Kiongozi wa Halmashauri Mafia adaiwa kumbaka Dada wa kazi. Je, Utenguzi alifanya Rais unahusiana na tukio hili?

    Alipotoshwa na ule Uzi wa kula tunda kimasihara.😂😂😂
  11. Ngoda95

    Mtu unajirekodi chumbani ili iweje? Nina uhakika Aslay na Lukamba wameteswa sana kisaikolojia kusubiri kuziona dhambi zao zilizovuja

    Nikweli Yani anatamani kuona kila mtu apatwe na hali ile aliyopitishwa Mzee wake.
  12. Ngoda95

    Car4Sale Agiza gari kutoka South Africa

    Umetoa tahadhari ya kweli Kabisa. Nina ndugu yangu alipata mkasa mkubwa alinunua gari kumbe liliibwa South na Mmliki aliuwawa katika tukio Hilo, maaskari wa Interpol wakabaini lipo Tanzania, kesi ilimtesa sana alikaa segerea miezi kadhaa. Ilihitaji fedha, Muda na connection kuhakikisha...
  13. Ngoda95

    Waliowahi kupotelewa na ndugu au mtu wa karibu mje mtupe experience

    Pamoja na kero zozote kutoka kwa ndugu wa karibu wanaosababisha frustrations za maisha usifikirie kupotea au kuwa mahali pasipojulikana. Uamuzi wa namna hiyo utaacha maumivu makubws kwa wapendwa wako haswa mama na mtoto. Muhimu ni kujitenga nao na mambo yao na kuacha kuchangamana nao, chagua...
  14. Ngoda95

    Leo ni kumbukumbu ya Siku ya Kuzaliwa kwa Ben Saanane, unakumbuka nini kutoka kwake?

    Na huyo mtu Pamoja na ukatili wake wote kwa sasa na yeye yuko kaburini. Bado vibaraka wake kina Makonda na wao watakufa vifo vya aibu sana.
Back
Top Bottom