Recent content by Ngo

  1. N

    JamiiForums Tanzania Im Just Curious.The School you attended has Nothing to do with your current career performance.

    Gajungi;Mkuu hapo una wazo zuri,lakini angalia mawazo yangu. In the course of your psychological development your background plays a great role(What do you mean?) The most important stages that might affect your career perfomance are childhood & adolescence .The environment shapes u in...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Im Just Curious.The School you attended has Nothing to do with your current career performance.

    To some employers, alumni can be something they will have an interest in. It may look as a stereotype(?) or something of that kind, people tend to expect something different from people who have gone thru a certain school/college with reputation of being good, so to speak. From your...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Im Just Curious.The School you attended has Nothing to do with your current career performance.

    I have seen so many posts where few members tried to convice the readers that their schools/Universities are better than of the others. On this post i would like to ask you guys... What role does the school you attended has played in your career performance? This can be in terms of salary...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Mzumbe University customer care ni zaidi ya vyuo vingine

    Senetor; Wale wale vilaza, Dogo acha matusi, vipanga huwa hawajisifii.Kuwa mstaarabu
  5. N

    JamiiForums Tanzania Siku yako ya kwanza kucheat ulimtazamaje mwenzi wako?

    muhanga; let me tel u one thing, kwa sisi tuliokomaa akili nakuishi kwenye ndoa zetu muda mrefu, hata ukimfumania mke/mume wala hamuachani, ila mnawekana chini kuulizana tatizo ni nini hata mmoja katoka nje ya ndoa! ukiangalia mengi mliyofanya pamoja, furaha, magumu mliyopitia, pengine mna...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Mianaume ndo tulivyo......hovyoooo!

    sawabho; Sasa wewe umejuisha wanaume wote, ilihali wa kawako tu ndio anakufanyia hayo. Umesahua kuwa binadamu wanatofautiana kutoka mmoja kwenda mwingine. Wengine akili ya kuambiawa anachanganya na yake kuacha ushauri mbaya pale pale. Sio mianaume yote, mingine ina malezi mazuri, inajali...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Nimemnyang'anya 'beki tatu' simu, je nimekosea?

    Masikini_Jeuri; yaelekea limekugusa sana hili mkuu ndio eneo la mawindo yako nini.................. Wote mnaomsakama huyu mnatambua kuwa pamoja ni kuwa mfanayakazi lakini akishakuwa ndani ya nyumba anahesabiwa kama mtoto wa familia? hebu chukulia ni binti yako....................ungechukua...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Siku yako ya kwanza kucheat ulimtazamaje mwenzi wako?

    Kwakweli labda sijamuelewa, kuwa kuna mtu anaweza ku-cheat asikose sababu? Kila mtu anaona sababu yake ni ya muhimu ku-justify alichokifanya. Na kuwa ukishaanza huwezi kujutia ukaacha? Pia, ni vema kufanya kile moyo wako unakipenda regardless ni kibaya-''kujipa raha siyo'' na sikamatwi (uzembe)...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Siku yako ya kwanza kucheat ulimtazamaje mwenzi wako?

    muhanga; 'no what? changamoto mojawapo kubwa kwenye ndoa ni mawasiliano, wanandoa wengi hawana guts za kuambiana ukweli au kuwekana chini kujadili mambo yanayowahusu, matokeo yake mmoja akizidiwa nguvu anaanza tu kujifeel inferior, helpless as a result and create a kind of depresion! hali hiyo...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Mwenzenu nalia, naomba msaada!

    By Mpatanishi Pole sana, punguza mawazo. Na pia usichukue uamuz wa haraka. Tulia kwa muda muweke huyo mchumba mtegoni, mtege na umpime kama anaweza kubadilika. Ukiona anaweza endelea nae. Hata hvyo naweza kusema na ww pia una tatizo, why uchumba tu miaka minne? Umesema una kazi nzuri na yeye...
  11. N

    JamiiForums Tanzania CCM wawatikisa CHADEMA Houston wajikuta wapo wawili tu mkutanoni

    Mikole007;Pigana kijana jenga chama chetu sisi tupo nyuma yenu. Mwaka huu tumewakamata pabaya wataisoma namba. Kwenye RED hapo ni wewe na nani? Kazi kwelikweli!
  12. N

    JamiiForums Tanzania Siku yako ya kwanza kucheat ulimtazamaje mwenzi wako?

    MwanajamiiOne; Aksante Da Asia, hapo kwenye, Red: Its a WORD. Ninakubaliana na wewe asilimia mia kwa mia. A happy marriage ni wewe na mwenzio mnavyoamua iwe. UKWELI ULIO UCHI. Blue: NAkushukuru kwa kuliweka hili wazi. Samahani sina nia ya kukusema kwa sababu tayariu umeshajidefend hapo juu...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Siku yako ya kwanza kucheat ulimtazamaje mwenzi wako?

    Da Asia; Happy marriage ni nyie wenyewe wahusika wawili, ndoa yenu kua na furaha mnataka iwe vipi. kuna wengine kupeana simu ndio ndoa ya furaha, kuoneana wivu kusiko na kipimo ndio furaha ya ndoa, kesi zisizoisha lakini hamuachani ndio raha, mambo ni mengi, kwangu mimi happy marriage ni...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya umeme (Wiring materials)

    Mihayo; Wakuu nadhani tatizo lililopo ni sisi wajenzi kwa kuwa tuko busy basi huwa tunawaamini mafundi wakatunulie vifaa. Nakwambia mafundi wengi lazima atakuchakachua na hata ukiongozana nae atakuwa amekwisha kwenda kuongea na wenye maduka ili wale chao cha juu. Na mbaya zaidi wakati mwingine...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya umeme (Wiring materials)

    rmashauri; Asante mkuu kwa kontakti ina nina swali, products zenu mna import kutoka nchi gani? Mkuu naona una wasiwasi na vitu toka China, siyo? Mpaka kiandikwe made in England/UK, Germany, Italy, nk ndo angalau uwe na imani na ubora wake. Kuna vitu vingi sana vinatengenezwa China bado vipo...
Back
Top Bottom