mzee jua tafauti kati ya binaadamu a mnyama ni akili. Mnyama hatahukumiwa kwani hana akili. lkn binaadamu atahukumiwa akitumia vibaya akili yake. kwa hivyo unachotakiwa sasa ni kusoma kiundani Dini mbili hizi sio kwa mtazamo wa jujuu tu. soma viatabu vya diini hizi mbili na utapata jibu sahihi...
HISTORIA YA DINI:
dini imeanzia wapi?
Tukiichukulia dini kwa maana ya aina Fulani ya mfumo wa maisha uliochaguliwa na kufuatawa na Jamii Fulani ya wanadamu. Tutagundua kwamba historia ya dini inaenda sambasamba na historia ya kuanza kuwepo kwa mwanadamu katika maisha ya ulimwengu huu. Hili ni...
KATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU -ZANZIBAR
naamini wewe ni mmoja ya watendaji wazuri katika wizara ya Elimu Zanzibar ambae licha ya kuwa na uchungu na Elimu lkn ni mmoja ya unaofatilia kwa karibu mfumo wa Elimu Zanzibar na Tanzania,ni mfumo uiobadika katika vyuo vya Serekali na taasisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.