Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Ni mwongozo mzuri kabisa ya kupiga kura kama Muislamu na si Mtanzania,ukweli wamepiga kura kama Watz na hakuna wanalopata zaidi ya marungu ,na hapa ndipo CCM itakapoumbuka ikumbukwe tu asilimia 75 ya waTz ni waislamu.
Nijuavyo mimi ni kuwa zaidi ya 75% ya inmates ktk magereza ya Tz ni wasilamu..he he he..