Habarini wana Jamvi.
Tuelekee katika hoja kama inavosema.
Kwa Tanzania,kuna fursa nzuri sana inayotokota ya kuuza gesi yake katika kanda hii au hata Ulaya.Je,itaweza kuchangamkia soko hilo?
Mimi ninavojua pale kunapotokea majanga tofauti tofautui Duniani, Kuna Mataifa mengine yanayonufaika...
Mbona Mr Tramp, amesha zungumza na kutoa msimamo wake. Amesema kwamba, Obama alimuacha Russia Achukue Krimia, Baideni Kamuacha tena Russia anataka achukue tena Ukraine. If a I was me.......... Kwa sasa hivi USA tunaongozwa na ma Stupidity ambao awajuwi nini maana ya USA, na tupo kwajili gani...
Azam ni Babalao Bongo, nine nunua decoder ya Startime mpaka nimejuta. ila kwa sasa na Enjoy na Azam Tv. Kwa Bongo Azam inakuja kwa kasi sana, Wame invest pesa nyingi sana kwanye Entertainment ya Tanzania, na Return wanaziona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.