Recent content by Ngidakarya

  1. N

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Ahh ahhh ahhh yule aliyesema ana urefu wa mita 2 au 3 katuingiza chaka asee, huyu mdudu ni zaidi ya mita 8, sasa hapo akisimama kwa mkia sipati picha kabisaaa
  2. N

    Wakinamama wa Jakaranda Arusha Wamerudishwa maeneo yao ya biashara

    Mkuu nimecheka hapa mpk raia wamenishangaa
  3. N

    Gari inauzwa carina IT

    Duh itakua ni yeye kainunua 2010, sasa anaiuza!!
  4. N

    CV YA Jenista Mhagama Naibu Waziri wa Elimu 2014-2015

    Kwa hiyooo........???
  5. N

    Kuna haja ya kusherehekea mwaka mpya?

    Basi waache waliopata mafanikio mwaka uliopita na wenye mipango endelevu kwa mwaka huu mpya washerehekee.....
Back
Top Bottom