Recent content by Ngetsi

  1. N

    Mnaosema Yesu ni Mungu msisahau kuwa Yesu alikuwa fundi seremala ili kujipatia riziki yake

    Whether Yesu ni Mungu au sio Mungu liko kiroho na kiimani zaidi. Je, wewe unamfahamu Mungu? Ulimwona wapi? Katika mitume na manabii wote hakuna aliyethubutu kukiri kwamba alimwona na anamfahamu Mungu. Yesu Kristo aliwaambia wayahudi na makuhani wao ya kwamba yeye ni sehemu ya UUNGU wa Mungu...
  2. N

    Kwa maneno yake haya, ina maana Mbowe bado hajatambua kuwa...

    Wewe endelea kujidanganya, CDM ni chama chenye wanachama milioni sità na nusu (watiifu) acha mashabiki wa CDM. Nafikiri tusiombee mabaya yatokee kwa sababu hizo washawasha na virungu havitafua dafu. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. N

    Basi laacha njia na kugonga magari saba Moshi, watu 15 wajeruhiwa

    Pole sana, wewe ni mgeni ktk Manispaa ya Moshi. Mabasi yote kutoka DSM, TANGA, ROMBO, ARUSHA, NAIROBI, n.k yanapitia kwenye mzunguko wa YMCA na mita kama 200 wanaingia kwenye mzunguko wa katikati ya Mji ie mnara wa saa, NBC Bank(Clock Tower), KNCU House, n.k kuelekea stand kuu ya mabasi ya mkoa...
  4. N

    Ukiangalia ujenzi wa hovyo na chini ya kiwango wa stendi ya mabasi Kibaha unapata picha halisi ya watendaji Serikalini

    Ujenzi wa stendi ya mabasi ya mikoani hapa Kibaha inathibitisha ni jinsi gani uongozi wa Halmashauri ya Mji Kibaha ulivyokumbatia ufisadi na wizi wa fedha za miradi. Stendi imejengwa kwa viwango hafifu mno kila kukicha 'paving' zinafumuka kutokana na ushindiliaji hafifu wa basement. Ujenzi wa...
  5. N

    Mzee Frederick Tluway Sumaye ajiondoa CHADEMA. Asema mambo yamembadilikia CHADEMA baada ya kuchukua fomu kugombea Uenyekiti Taifa

    Roving Journalist, Hivi wewe una ushauri gani mzuri ambao unafikiri CDM au CCM watahitaji kutoka kwako. Enzi zile sio sasa huna lolote jipya. Pumzika siasa. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. N

    Manyara: RC Munyeti apiga marufuku umoja wa watu wa Kilimanjaro mkoani kwake

    Wachagga ni 'hard workers', hawakati tamaa wala sio washirika wa vijiwe ambavyo havina faida. Take it from me, serikali imeajiri watanzania wasiozidi laki nane kwenye mfumo rasmi wa ajira. Private sector ndio mwajiri mkuu wa Watanzania (takwimu zipo). Fanya utafiti kuhusu watanzania walioajiriwa...
  7. N

    Mzee Sumaye kura za hapana kwa Wengine ni sawa, Ukipigiwa wewe kura za hapana unakataa?

    Siku walipoalikwa Ikulu mzee Fredrick Sumaye alisema yuko kambi ya upinzani kwa manufaa ya CCM. Kwa kauli ile hukustahili kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Kanda au mjumbe wa kamati kuu ya CDM. "Wamekustahi mno"
  8. N

    Kuna tatizo Chadema hilo lazima tukubali

    Naomba tuwe wakweli, yaani Sumaye utoke CCM (kama kweli ulitoka kwa kuwa hukurudisha kadi yako ya CCM) miaka minne (4) and then ukabidhiwe uenyekiti wa CHADEMA!! Nenda kajaribu hata TLP au CUF uone utakavyotimuliwa na mzee wa Kiraracha ama Professor wa CUF. Kuna 'wafia chama' ambao wamepoteza...
  9. N

    Huyu ni Mchagga gani asiependa Rushwa...?

    Kwani yeye ni 'mtani' wa wachagga? Mbona yeye akitaniwa kidogo tu kama alivyomtania Idris (msanii) anachukia na kutumia mamlaka yake kwenye utani.
  10. N

    Serikali: Siku za Kigogo wa Twitter zinahesabika na hana siku nyingi

    Mkamateni aliyemshambulia Lissu kwanza, baada ya kumkamata tutawaamini kuwa mko makini vinginevyo kumkamata kigogo sio "issue".
  11. N

    Kwa hizi barabara za lami, maji nilivyoviona Yombo Vituka, Dovya, Kilakala, Magufuli ni noma. 2020 wapinzani msije kwenye kampeni, Magufuli anatosha

    Hizo barabara za lami mbona sizioni huku Yombo machimbo? Au mnaongelea Yombo Vituka ipi?
  12. N

    Slaa anaamini katika nini? Kipenzi mbeba maono, msaliti wa umma au maslahi binafsi?

    Dr. Slaa akikujibu na kusema kwamba alikuwa anatetea sera na itikadi za chama (CDM) nitaomba unibip. Dr.Slaa ni pandikizi la 'system' kwa sura ya kanisa. Mbona wako wengi.
  13. N

    Kwanini Mzee Sumaye hajahudhuria mkutano wa SADC kama walivyofanya wastaafu wengine?

    Sumaye sio mnafiki wala hajipendekezi kwa watawala. Kama watawala wanamtambua kuwa ni Waziri Mkuu (mstaafu) kwa miaka 10 ya awamu ya tatu, wamheshimu, wamrudishie mali zake halali walizompora na watambue kuwa Frederick Tluwai Sumaye ana mchango mkubwa ktk maendeleo ya Taifa hili hususani awamu...
  14. N

    Ogopa sana Rais Magufuli asipokujibu

    Je una maana kuwa yaliyomtokea Lissu ni majibu ya magu kwake? Tufafanulie zaidi/Weka wazi yaliyojificha.
Back
Top Bottom