Kwa maneno yake haya, ina maana Mbowe bado hajatambua kuwa...

Dr Akili

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
4,953
4,326
Akihutubia mkutano mkuu wa CHadema hivi karibuni Mbowe alisikika akisema kwamba nchi yetu yote ya Tanzania ilishamwagiwa mafuta ya petroli na yeye ndiye mwenye kibiriti.

Na kwamba uvumilifu utakapomwishia atawasha hicho kiberiti kwenye mafuta hayo kitakachotokea wasimutafute!

Kwa maneno haya makali na ya vitisho ina maana kwamba huyu mtu bado tu hajatambua kwamba:

1. Watanzania ni watu tofauti sana na ambavyo huwa anawafikiria. Wamekomazwa sana kisiasa kuanzia baba wa taifa Mwl Julius Nyerere. Kichama kimoja cha ki-saccos cha kisiasa kamwe hakiwezi kuwaparanganisha.

Hivi ni mara ngapi Mbowe amekuwa akijaribu kuhamasisha na kuratibu maandamano ya machafuko nchi nzima (yenye majina tofauti tofauti) na mara zote kugonga mwamba?

Hajatambua tu kwamba Watanzania wameshazichoka hizo hamasa zake (= kuwasha kiberiti)?

2. Hivi Mbowe hajatambua tu hadi sasa kuwa hii awamu ya tano ni tofauti kabisa na zile alizozoea kuzitisha tisha?

Kwamba hii awamu haitishwi na mtu au kikundi cha watu chochote. Ni awamu ambayo haitaki ujinga jinga (nonsenses)!

3. Hivi hajatambua tu kwamba awamu hii ya tano imedhamiria kwa dhati kunyoosha mambo mbalimbali nchini ambayo yalikuwa yamekaa sivyo yakiwemo hayo ya kwake ya kisiasa? Inahakikisha kila mtu anafuata sheria za nchi tulizojiwekea.

4. Hivi bado tu hajatambua... (endeleza na wewe).
 
Eti unajiita Dr. Akili, my foot....!!

Daktari maana yake ni msomi mwenye kuelewa mambo ktk undani na upana wake...

Sasa leo umeshindwaje kuelewa "logic" iliyoko katika ujumbe huo na badala unatia unajisi udaktari wako kwa kuleta tafsiri inayo suit interest zako za kisiasa??

By the watanzania gani hai unawasema? Wa kizazi cha Nyerere hawapo, walishakufa. Hiki ni kizazi kingine kabisa....

May be wa kizazi cha Nyerere wako mitaa ya Lumumba...
 
Eti unajiita Dr. Akili, my foot....!!

Daktari maana yake ni msomi mwenye kuelewa mambo ktk undani na upana wake...

Sasa leo umeshindwaje kuelewa "logic" iliyoko katika ujumbe huo na badala unatia unajisi udaktari wako kwa kuleta tafsiri inayo suit interest zako za kisiasa??

By the watanzania gani hai unawasema? Wa kizazi cha Nyerere hawapo, walishakufa. Hiki ni kizazi kingine kabisa....

May be wa kizazi cha Nyerere wako mitaa ya Lumumba...
Wewe kumbe kilaza. Biolojia kwako ni zero. Unadhani kizazi cha sasa kilijizaa na kujilea chenyewe. Watanzania ni wale wale tangia na kabla ya akina Mkwawa, Mirambo, Kasiki na Ng'wanamalundi.
Haya wewe unayejiita kizazi kingine mbona kwenye hayo maandamano ya Mbowe huwa unaufyata uonapo wanaume wa kazi wakifanya mazoezi yao ya magari ya washa washa na mabomu ya machozi na ya moto? Mbowe mwenyewe ndiye usiseme. Ulimwona alivyotimua nduki kwenye lile sakata lilosababisha kifo cha Aquilina? Na sasa anasota kwa pilato akisubiri haki yake! Eti atawasha kibiriti. Kwani hicho alichokuwa akiwasha hakikuwa kiberiti? Kweli once a DJ you will remain a DJ for life.
 
Akihutubia mkutano mkuu wa chadema hivi karibuni Mbowe alisikika akisema kwamba nchi yetu yote ya Tanzania ilishamwagiwa mafuta ya petroli na yeye ndiye mwenye kibiriti. Na kwamba uvumilifu utakapomwishia atawasha hicho kiberiti kwenye mafuta hayo ........ kitakachotokea wasimutafute!

Kwa maneno haya makali na ya vitisho ina maana kwamba huyu mtu bado tu hajatambua kwamba:

1. Watanzania ni watu tofauti sana na ambavyo huwa anawafikiria. Wamekomazwa sana kisiasa kuanzia baba wa taifa Mwl Julius Nyerere. Kichama kimoja cha ki-saccos cha kisiasa kamwe hakiwezi kuwaparanganisha. Hivi ni mara ngapi Mbowe amekuwa akijaribu kuhamasisha na kuratibu maandamano ya machafuko nchi nzima (yenye majina tofauti tofauti) na mara zote kugonga mwamba? Hajatambua tu kwamba watanzania wameshazichoka hizo hamasa zake (= kuwasha kiberiti)?

2. Hivi Mbowe hajatambua tu hadi sasa kuwa hii awamu ya tano ni tofauti kabisa na zile alizozoea kuzitisha tisha? Kwamba hii awamu haitishwi na mtu au kikundi cha watu cho chote. Ni awamu ambayo haitaki ujinga jinga (nonsenses)!

3. Hivi hajatambua tu kwamba awamu hii ya tano imedhamiria kwa dhati kunyoosha mambo mbali mbali nchini ambayo yalikuwa yamekaa sivyo yakiwemo hayo ya kwake ya kisiasa? Inahakikisha kila mtu anafuata sheria za nchi tulizojiwekea.

4. Hivi bado tu hajatambua ........ (endeleza na wewe).
Mchochez mpuz wew
 
Wewe kumbe kilaza. Biolojia kwako ni zero. Unadhani kizazi cha sasa kilijizaa na kujilea chenyewe. Watanzania ni wale wale tangia na kabla ya akina Mkwawa, Mirambo, Kasiki na Ng'wanamalundi.
Haya wewe unayejiita kizazi kingine mbona kwenye hayo maandamano ya Mbowe huwa unaufyata uonapo wanaume wa kazi wakifanya mazoezi yao ya magari ya washa washa na mabomu ya machozi na ya moto? Mbowe mwenyewe ndiye usiseme. Ulimwona alivyotimua nduki kwenye lile sakata lilosababisha kifo cha Aquilina? Na sasa anasota kwa pilato akisubiri haki yake! Eti atawasha kibiriti. Kwani hicho alichokuwa akiwasha hakikuwa kiberiti? Kweli once a DJ you will remain a DJ for life.

Hujui hata maana ya "kizazi" Dr Akili Kilaza...!!

Ukitaka kufundishwa maana ya "kizazi", niulize.

Else, endelea kuwa daktari wa maarifa ya kujipachika....!!
 
Baelezee mkuu
Akihutubia mkutano mkuu wa chadema hivi karibuni Mbowe alisikika akisema kwamba nchi yetu yote ya Tanzania ilishamwagiwa mafuta ya petroli na yeye ndiye mwenye kibiriti. Na kwamba uvumilifu utakapomwishia atawasha hicho kiberiti kwenye mafuta hayo ........ kitakachotokea wasimutafute!

Kwa maneno haya makali na ya vitisho ina maana kwamba huyu mtu bado tu hajatambua kwamba:

1. Watanzania ni watu tofauti sana na ambavyo huwa anawafikiria. Wamekomazwa sana kisiasa kuanzia baba wa taifa Mwl Julius Nyerere. Kichama kimoja cha ki-saccos cha kisiasa kamwe hakiwezi kuwaparanganisha. Hivi ni mara ngapi Mbowe amekuwa akijaribu kuhamasisha na kuratibu maandamano ya machafuko nchi nzima (yenye majina tofauti tofauti) na mara zote kugonga mwamba? Hajatambua tu kwamba watanzania wameshazichoka hizo hamasa zake (= kuwasha kiberiti)?

2. Hivi Mbowe hajatambua tu hadi sasa kuwa hii awamu ya tano ni tofauti kabisa na zile alizozoea kuzitisha tisha? Kwamba hii awamu haitishwi na mtu au kikundi cha watu cho chote. Ni awamu ambayo haitaki ujinga jinga (nonsenses)!

3. Hivi hajatambua tu kwamba awamu hii ya tano imedhamiria kwa dhati kunyoosha mambo mbali mbali nchini ambayo yalikuwa yamekaa sivyo yakiwemo hayo ya kwake ya kisiasa? Inahakikisha kila mtu anafuata sheria za nchi tulizojiwekea.

4. Hivi bado tu hajatambua ........ (endeleza na wewe).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujui hata maana ya "kizazi" Dr Akili Kilaza...!!

Ukitaka kufundishwa maana ya "kizazi", niulize.

Else, endelea kuwa daktari wa maarifa ya kujipachika....!!
Hee wewe sasa noma. Kizazi ni offsprings na siyo hizo sehemu za siri (genitals) unazofikiria. Kwenye animal kingdom mating has to take place to allow fertilization of the ovum by the sperm cell and formation of the zygote which evantually results into the offspring for the continuity of the individual species which in this context means tanzanians.

Najua hapo wewe kilaza utakuwa umepita kapa. And I've not talked about the chromosomes, genes and many other things about the offsprings. Muache Mbowe aendelee tu na U DJ wake ili mradi asivunje sheria, kanuni na taratibu za nchi la sivyo rungu la pilato atalionja. Haya mambo mengine sijui ya kizazi kipya tupo wenyewe 😃😃
 
Awamu ya mauji, utekaji, upotezaji , ubambikiaji kesi etc unadhani unaipamba kumbe unaibomoa
Akihutubia mkutano mkuu wa CHadema hivi karibuni Mbowe alisikika akisema kwamba nchi yetu yote ya Tanzania ilishamwagiwa mafuta ya petroli na yeye ndiye mwenye kibiriti. Na kwamba uvumilifu utakapomwishia atawasha hicho kiberiti kwenye mafuta hayo kitakachotokea wasimutafute!

Kwa maneno haya makali na ya vitisho ina maana kwamba huyu mtu bado tu hajatambua kwamba:

1. Watanzania ni watu tofauti sana na ambavyo huwa anawafikiria. Wamekomazwa sana kisiasa kuanzia baba wa taifa Mwl Julius Nyerere. Kichama kimoja cha ki-saccos cha kisiasa kamwe hakiwezi kuwaparanganisha. Hivi ni mara ngapi Mbowe amekuwa akijaribu kuhamasisha na kuratibu maandamano ya machafuko nchi nzima (yenye majina tofauti tofauti) na mara zote kugonga mwamba? Hajatambua tu kwamba watanzania wameshazichoka hizo hamasa zake (= kuwasha kiberiti)?

2. Hivi Mbowe hajatambua tu hadi sasa kuwa hii awamu ya tano ni tofauti kabisa na zile alizozoea kuzitisha tisha? Kwamba hii awamu haitishwi na mtu au kikundi cha watu cho chote. Ni awamu ambayo haitaki ujinga jinga (nonsenses)!

3. Hivi hajatambua tu kwamba awamu hii ya tano imedhamiria kwa dhati kunyoosha mambo mbali mbali nchini ambayo yalikuwa yamekaa sivyo yakiwemo hayo ya kwake ya kisiasa? Inahakikisha kila mtu anafuata sheria za nchi tulizojiwekea.

4. Hivi bado tu hajatambua... (endeleza na wewe).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nijuavyo mimi Chief Mbowe ana uwezo wa kuwaamrisha wa Machame + Marangu tu, hata Warombo tu hawawezi kumsikiliza labda alimaanisha hivyo.
 
Nijuavyo mimi Chief Mbowe ana uwezo wa kuwaamrisha wa Machame + Marangu tu, hata Warombo tu hawawezi kumsikiliza labda alimaanisha hivyo.
Hata hao tumeshamchoka. Sasa hivi amebakiza kakikundi kadogo tu ambako ana uwezo wa kukaamrisha. Kakikundi hako ni ka Mnyika, Tundu, Msigwa, Halima, Lema na wengine wachache wa aina hiyo.
 
Hata hao tumeshamchoka. Sasa hivi amebakiza kakikundi kadogo tu ambako ana uwezo wa kukaamrisha. Kakikundi hako ni ka Mnyika, Tundu, Msigwa, Halima, Lema na wengine wachache wa aina hiyo.
Wewe endelea kujidanganya, CDM ni chama chenye wanachama milioni sità na nusu (watiifu) acha mashabiki wa CDM. Nafikiri tusiombee mabaya yatokee kwa sababu hizo washawasha na virungu havitafua dafu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom