Aliyekataa kwamba mpemba siyo mji ni ww ila center ipo wapi tumia akili unatoka dar usiku mpaka ufike tunduma kutoka mpemba unafanyeje? au unaenda dar ulale mpemba au hiyo ni angalau mama wa hali ya chini ananunua parachichi na ndizi vwawa anapakia kwenye hiace ashushe mpemba apakie hadi tunduma...
Mfululizo wa kubomoa kuharibu masoko stendi na sehemu zingine za kazi umekuwa kwa kasi sana hapa tunduma. Hatukatai kuboresha mji lakini kwann huu ufanyaji kazi umekuwa kwa haraka kuharibu kila soko .Walianza na stendi wakahamishia kilometer 7 kutoka ilipokuwa ya awali yaani katikati ya mji...
Kwa ujinga huu unaoufanya mtatuharibia ndoa zetu sana rudini nyuma mjitafakari visa hivi ni vingi sana hasa kwa makanisa ya mlipuko. Mnajazana ujinga tu na miujiza hamjielewi hata hivyo nawapongeza wachungaji wa taasisi imara. Mimi ni mhanga wa visa kama hivi hivi kwann hamna akili au kwa kuwa...
Mimi ni mfanyabiashara wa kawaida elimu ya kawaida sana. Nahitaji msomi mwenye shahada ya chuo kikuu business administration ili nisonge mbele kwa biashara zangu na ushauri. Aliye tayari anitafute seriously
Masoko mengi yanayoanzishwa na serikali yanasuasua au kufa kabisa mimi ni shahidi wa hili pia mhanga. Hili nimeliona Mbeya,
Mlowo, Vwawa, Tunduma na kwa Dar kama Magomeni na Machinga Complex. Kwanini serikali hushindwa kuweka kuacha wafanyabiashara watengeneze wenyewe biashara zijiendeshe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.