Kumlalamikia Insider Man kuwa hajaleta story, mara anakawia wakati mwingine ni upungufu wa akili, yaani aache Kazi na mipango yake muhimu ashinde humu? Kwa pato lipi analoingiza humu?
Mtu yoyote ambaye ni Tajiri au anadalili za kuwa Tajiri mojawapo ya dalili ni Muda kutokutosha na ndio maana...
JAMANI PAMOJA NA KUSTORIKA NA STORY NZURI SANA, KWA WALE KWENYE HELA HAWAJUI WAWEKEZE WAPI
NIPO MKOA WA TANGA KWA SASA KUNA FURSA YA KUWEKEZA KWENYE MKONGE/KATANI.
1.Mashamba mapya sh 400,000 - 600,00.
2.Unang'oa visiki utapata faida ya mkaa ukichukua kibali kugoa ni kuanzia 200,000-300,00...
Sijawahi kuwa na Bahati ya kupewa kitu kama zawadi Naamini Mimi sipo Kati ya Hao ata kama ningekufwatilia kwa kila dakika tangu aunze story. Na sijui ni kwa ni?
Kwani yeye alipatikaneje?
Giza na mwanga hujitenga.
Kwa umri wake na Vyeo ambayo alisha wahi tumikie hawezi kosa hela ya kula hadi mwisho wake.
Bado haja chelewa anyooshe mikono juu.
Nimeamua kuingia S.b kwa wale ambao hawajastuka, Odd za Sb zipo juu na pia cash out yupo vizuri sana.
Nilipo kuwa cash out unabembeleza na unanyinywa bila sababu, unaonyeshwa timu ambayo hata haijaanza kucheza eti imeblock.
Wawekezaji wenzangu, Ni marufuku kurudia timu moja katika mikeka tofauti, labda ya direct wine alafu under /over.
Yaani options tofauti.
Tofauti na hapo utamlamu Sana Kanji.
https://www.betpawa.co.tz/share-betslip/L8505NH
Na hii nilitest ikaitika ningeweka 10,ningekuwa njema Sana.
Na endelea kuwasisistiza timu za Mapema zipo vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.