1.wanapenda mziki huku wanaita Dundo(uwe wa nyimbo za migegedo, huku kumwaga razi (kuvua nguo mziki ukikolea) pia Kuna ngoma ya kucheza uchi kumkaribisha mwali (wazigua
2.Shuhuli ndio Nyumbani kwao yaa hana haja ya kualika mtu akiona anajumuika
3.Vikoba,vikoba, vikoba, hapa ndio nilipo washidwa...