Recent content by NGERESHAA

  1. NGERESHAA

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaompenda, kumjali na kumthamini bila kujificha Rais Samia

    '' mwogopeni Mungu yeye Aweza kuangamiza mwili na Roho pia x 2." Hayajua yote hata mawazo ya mioyo yetu, Mungu wetu ni wa Haki na wa wote, hukumu zake ni za Adili. Mwogope Mungu husikiliza haraka kilio cha anayeonewa , wajana na yatima na wasio na msaada. Mwogope!
  2. NGERESHAA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Reviews: Wanawake wa Kitanga

    1.wanapenda mziki huku wanaita Dundo(uwe wa nyimbo za migegedo, huku kumwaga razi (kuvua nguo mziki ukikolea) pia Kuna ngoma ya kucheza uchi kumkaribisha mwali (wazigua 2.Shuhuli ndio Nyumbani kwao yaa hana haja ya kualika mtu akiona anajumuika 3.Vikoba,vikoba, vikoba, hapa ndio nilipo washidwa...
  3. NGERESHAA

    JamiiForums Tanzania Wanangu wa VEGA 100 kueni makini

    Siku moja nipo na (ke) tupo room tuna fanya yetu, Mtoto analili Mimi Nguvu hamna. Nilishikwa shikwa mara nikanyonywa wapi! Nikamwambia mama tulle tu umefanya kila juhudi imeshindikana nisamehe ata Mimi sielewi Basi bwana tushajitawadha nimelala naangalia Mali ya maana kabisa alafu ndio hivyo...
  4. NGERESHAA

    JamiiForums Tanzania Wanangu wa VEGA 100 kueni makini

    Fafanua kidogo nikama umetuacha, inasaidia nini?
  5. NGERESHAA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    INSIDER MAN atatuma tutamwona baada ya hii wiki nawapeni utabiri na mambo yatarejea. Atawapa A, B, C za kwanini alikuwa hapatikani. Yupo mzima kabisa, ila Kuna mambo kayapitia hapa Kati na safari nyingi. Tuvute subira
  6. NGERESHAA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Msiogope ni uvumilivu tu unao hitajika, mwenyewe anajua kawaa ha na Arosto muda hivyo ataitoa yote, akiwa Sawa
  7. NGERESHAA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kumlalamikia Insider Man kuwa hajaleta story, mara anakawia wakati mwingine ni upungufu wa akili, yaani aache Kazi na mipango yake muhimu ashinde humu? Kwa pato lipi analoingiza humu? Mtu yoyote ambaye ni Tajiri au anadalili za kuwa Tajiri mojawapo ya dalili ni Muda kutokutosha na ndio maana...
  8. NGERESHAA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    JAMANI PAMOJA NA KUSTORIKA NA STORY NZURI SANA, KWA WALE KWENYE HELA HAWAJUI WAWEKEZE WAPI NIPO MKOA WA TANGA KWA SASA KUNA FURSA YA KUWEKEZA KWENYE MKONGE/KATANI. 1.Mashamba mapya sh 400,000 - 600,00. 2.Unang'oa visiki utapata faida ya mkaa ukichukua kibali kugoa ni kuanzia 200,000-300,00...
  9. NGERESHAA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Sijawahi kuwa na Bahati ya kupewa kitu kama zawadi Naamini Mimi sipo Kati ya Hao ata kama ningekufwatilia kwa kila dakika tangu aunze story. Na sijui ni kwa ni?
  10. NGERESHAA

    JamiiForums Tanzania Mungu tunaomba usiruhusu Madhara yoyote kwa Dr Nchimbi

    Kwani yeye alipatikaneje? Giza na mwanga hujitenga. Kwa umri wake na Vyeo ambayo alisha wahi tumikie hawezi kosa hela ya kula hadi mwisho wake. Bado haja chelewa anyooshe mikono juu.
  11. NGERESHAA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimeamua kuingia S.b kwa wale ambao hawajastuka, Odd za Sb zipo juu na pia cash out yupo vizuri sana. Nilipo kuwa cash out unabembeleza na unanyinywa bila sababu, unaonyeshwa timu ambayo hata haijaanza kucheza eti imeblock.
  12. NGERESHAA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wawekezaji wenzangu, Ni marufuku kurudia timu moja katika mikeka tofauti, labda ya direct wine alafu under /over. Yaani options tofauti. Tofauti na hapo utamlamu Sana Kanji.
  13. NGERESHAA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    http://www.sportybet.com/tz/?shareCode=6E0XEJ. Wa Asubuhi huu
  14. NGERESHAA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    78QGLKX. Bpawa, Tupitie tuone kama Kuna kuediti
  15. NGERESHAA

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Yaani Jana nimewine mikeka yote 2. Nikiwashirikisha humu sivuki
Back
Top Bottom