Makampuni ya mawasiliano yataongeza faida kutokana na ongezeko la watumiaji wa simu.
Unakopwa simu ili ununue vocha wapate faida mara mbili.
Hakuna mfanyabiashara anaetaka kukuonea huruma. Unakamuliwa mpaka damu zikauke kabisa.
Umetumia kigezo cha ufaulu pekee?
!
!
Zanzibar ufaulu umeongezeka hivyo wanapaswa kuongezewa asilimia ya wanufaika wa ajira za Muungano.
Bara ufaulu umepungua hivyo, wanapaswa kupungua pia katika asilimia za wanufaika wa ajira za Muungano.
Kwanini tusitumie kigezo cha 'uwiano wa watu'...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.