Recent content by ngayongadaniel

  1. ngayongadaniel

    Msaada: Mtoto akijisaidia utumbo unatoka nje

    MalcolM XII, Naungana na wewe Ni kweli kabisa kwa utafiti uliofanywa na chuo Cha afya cha South Korea nchini Korea watoto kuanzia umri mwaka 1 mpaka 7 wapo katika hatari ya kupata rectal prolapse. Afike kituo Cha afya kwa uchunguzi zaidi maana akiendelea kukaa inaweza kumletea madhara makubwa...
  2. ngayongadaniel

    Msaada juu ya APPLICATIONS za notes(lectures) za vyuo vikuu

    PDF leader , but inafanya kazi kwe simi za smartphone Ukiwa na smartphone ingia play store then search for power point leader au PDF leader
  3. ngayongadaniel

    4th ROUND , KUOMBA VYUO AWAMU YA NNE

    TCU wametoa tangazo kuhusiana na waliokosa vyuo awamu za mwanzo kuomba awamu ya nne
  4. ngayongadaniel

    JINSI YA KUHAKIKI BIRTH CERTIFICATE

    Naomba kuuliza kwenye UHAKIKI PORTAL -RITA ukishatuma information inachukua muda gani kupata majibu Na kwenye kutuma files I mean risit na PDF copy ya cheti , tunatuma kama file moja au tunatenganaisha cheti kivyake na risit kivyake Msaada pleasw
  5. ngayongadaniel

    Taarifa

    Week inayoanza kesho chief
  6. ngayongadaniel

    Vijana someni Uuguzi, una fursa nyingi

    Nurses wasiku izi wanashule awapelekeshwi kama nurses Wa zamani
  7. ngayongadaniel

    Baada ya ku-apply na kupata nafasi chuo kimoja ninaweza ku-apply tena chuo kingine?

    Mdogo wangu amechaguliwa chuo cha udsm chaguo LA tatu Je ninaweza kuomba kwa Mara ya pili chuo kingine ingawa amechaguliwa udsm?
Back
Top Bottom