Recent content by ngawia

  1. N

    JamiiForums Tanzania Tusiime Holding inaweza kupigwa mnada kutokana na madeni yanayowakabili

    Duh maisha ujanja wakati una mkopo ni hatari angejenga kwa kiwango hata kama anapata kidogo faida
  2. N

    JamiiForums Tanzania Tusiime Holding inaweza kupigwa mnada kutokana na madeni yanayowakabili

    Niliwahi kusoma andiko la mdau hapa alianzisha kampuni ya ujenzi akawekeza nguvu zake nyingi kule alasahau shule na shule ilikuwa dhamana ya kukopea sijui kweli
  3. N

    JamiiForums Tanzania Hospital Yenye kipimo cha aleji

    Cheki na nyama za pua pia huwa zinasumbia hivyo
  4. N

    JamiiForums Tanzania KERO Dawasa bomba limetoboka Mlima Ukonga Mwezi sasa hakuna matengenezo yoyote

    Ilifanyiwa kazi mkuu ila baada muda sana na mapambano mengi
  5. N

    JamiiForums Tanzania RESOLVED KERO Bomba kubwa la DAWASA limepasuka maneno Banana Ukonga mkabala na Aviation house toka mwezi wa nne

    Bomba kubwa la DAWASA limepasuka maneno banana ukonga mkabala na Aviation house toka mwezi wa nne mpaka Sasa tumetoka taarifa DAWASA Kinyerezi na wamefika hakuna utatuzi wowote. Maji yanayomwagika ni Mengi na yanasambaa kwenye makazi ya watu Mamlaka husika hasa mh Waziri tunaomba msaada wako...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Nimefarijika sana TBC kuonesha kombe la dunia

    Wanaonyesha mechi 34 tu kati ya 104
  7. N

    JamiiForums Tanzania KERO Miundombinu mibaya ya choo Stendi ya Bweri (Musoma)

    Dah nilikutumia wakati natoka musoma to Dar hali ya hivyo vyoo ni mbaya sana sijui pesa wanaochaji inaenda wapi isifanye ukarabati
  8. N

    JamiiForums Tanzania DAWASA yaja na operesheni siku 90 kudhibiti upotevu wa maji

    Waje banana ukonga karibu na aviation house maji yanatiririka kama mfereji wa humuzi
  9. N

    JamiiForums Tanzania Simba wanamtangaza Diadora bure, viongozi hawajui thamani yao

    rutty ni winga
  10. N

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi Deogratias Kisandu

    Watakuwa walimwengu jamaa hakuwa sawa nahisi alipaswa kupelekwa hospital
  11. N

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Maombi ya kujionesha, hata kama ni ya siku tisa (Novena), Mungu hayasikii

    Ujue chochote ni Bora kukaa kimya
  12. N

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Maombi ya kujionesha, hata kama ni ya siku tisa (Novena), Mungu hayasikii

    Ujue chochote ni Bora kukaa kimya
Back
Top Bottom