Recent content by ngawia

  1. N

    Nilishiriki mapokezi ya ndege boeing 737 - MAX 9

    Kipochi manyoya kinafanya kazi mkuu....
  2. N

    Tusinunue vitu Used jamani

    Umenikumbusha mwl wangu marketing alinifundisha bidhaa zimegawanyika katika makundi matatu kuna (1) brand new then ( 2)second hand na (3) Subject to repaire sasa inategemea bidhaa yako uliipata kwenye hali gani?
  3. N

    Msaada wa mawazo kuhusu huyu mwanafunzi

    Kuna jamaa yangu yupo Dodoma alikuwa na mtoto Marangu sekondari Moshi sasa akapata changamoto ya ada baada ya mwanae mwingine kuugua mpaka kufanyiwa upasuaji. Huyu Dogo mwanafunzi alishasajiliwa kufanya mtihani wa form two lakini hakufanya kutokana na kushindwa kulipa ada . Mwaka huu baba...
  4. N

    Hili halikubaliki ni kama ubaguzi kwenye timu kama Simba

    Mbona mafisadi wakila mabilioni huongei kwa uchungu si kodi zetu pia . ..
  5. N

    Na Nyie mmetambua hii hali? Sasa hivi ukiwa unasafari ya Dodoma HQ unapewa "Treatment" ya ki VIP tofauti na ukisema unasafari Dar au mikoani kwingine

    Nani anakupa hiyo treatment unadai ni ya V.I.P ? Naona wakubwa wote wa serekali kila mara wapo mjini Dsm ... Hata leo kuna kikao cha halmshauri kuu ya chama hapa Dsm.
  6. N

    China yaongoza duniani katika utengenezaji na uuzaji wa mabasi ya abiria

    Kwenye ndege katengeneza body tu ingini na parts zake zinatoka ulaya
  7. N

    Video: Angalia Bodaboda alivyogongwa na Mwendokasi

    Bodaboda wangekatazwa kuingia mjini wasilete siasa watawamiza vijana yaan wanapita kwenye njia mwendo kasi kama yao
  8. N

    Polisi wa Zanzibar kuwakamata watu kisa kuwakuta wakila mchana kipindi cha Ramadhan ni uvunjifu wa sheria za Nchi

    Kwani katiba ya jamhuri ya muungano inasemaje hapo ndio africa tunaponekana hatujielewi sheria inasema nchi haifuiti mrengo wowote wa dini ila kinachoendelea kinashangaza sana kuna kipindi Mtikila alikuwa anaenda zanzibar na anakula na hakuna aliyekuwa anamkamata maana walijua angefungua kesi...
  9. N

    Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

    Hata juz kulikuwa na sendooff ya binti ilifanyika Kigali akadai ndio ndgu zake wapo huko waache siasa wanawajua wote bongo kweli kaz kweli kweli
  10. N

    Kuna haja ya kuangalia upya sera ya uraia wa Watanzania

    Wamalawi kipande Cha mwenge mpaka bunju wapo kibao wanafanya kazi za ndani . House boy na house girl
  11. N

    Kwanini uliacha kwenda kanisani?

    Hawana ushawishi ndio maana wanasiasa hawaendi kuwekeza kule
  12. N

    Hatimae nimeamua kuandika kitabu kuhusu mtindo wa maisha ya watu wa mikoa ya Kusini mwa Tanzania

    Unafiki na majungu wanapenda Sana na kuamini uchawi nalo fanyia kazi nimekaa lindi na mtwara kwa Muda nimeliona.
  13. N

    Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

    Smart Gin hizo akili yako inaharibika unasema nn ukienda kuongea huo ujinga kivule na makofi utapigwa Kama anakununulia pombe kunywa Ila acha kuropoka....
  14. N

    Waarab wa Sudan wamechinja sana weusi, tena kwa maelfu ila mweusi wa hapa JF kutwa unawaza Palestine

    Hakuna undugu wa mtu mweusi na mweupe ni ujinga wa mwafrika kujipendekeza tu.
Back
Top Bottom