Niliwahi kusoma andiko la mdau hapa alianzisha kampuni ya ujenzi akawekeza nguvu zake nyingi kule alasahau shule na shule ilikuwa dhamana ya kukopea sijui kweli
Bomba kubwa la DAWASA limepasuka maneno banana ukonga mkabala na Aviation house toka mwezi wa nne mpaka Sasa tumetoka taarifa DAWASA Kinyerezi na wamefika hakuna utatuzi wowote. Maji yanayomwagika ni Mengi na yanasambaa kwenye makazi ya watu
Mamlaka husika hasa mh Waziri tunaomba msaada wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.