Recent content by Nganju

  1. Nganju

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    poa poa nimekusoma bro maana nilikuwa sielewi
  2. Nganju

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    kuna anayejua chochote kuhusu zero bet msaada please .........
  3. Nganju

    Rais Magufuli apiga simu Clouds TV na kuwapongeza kwa kipindi cha Clouds 360

    EA Radio imebidi watangaze dau kwa watakao fatilia vipindi vyao hii yote ni kujalibu kuweka usawa na kupunguza makali ya hiyo ishu na kuzuiya wasikilizaji kuhama station
  4. Nganju

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    over 1.5 ni magoli yasipungue mawili Na over 2.5 magoli yasipungue matatu kama sijakosea
  5. Nganju

    Rais Magufuli apiga simu Clouds TV na kuwapongeza kwa kipindi cha Clouds 360

    Mmmmgh embu jaribu kukitazama vizuri kile kipindi maana nakikubali pia ukikitazama ni kama unapata Habari muhimu za siku nzima na pia wanafanya kujadili baadhi ya mada ambazo zitafanya upate mtazamo wa upande mwingine kwa mimi 360 kipo poa kama kile cha kwenye Radio kile cha JAhazi ingawa siku...
  6. Nganju

    Rais Magufuli apiga simu Clouds TV na kuwapongeza kwa kipindi cha Clouds 360

    Kwa mimi sioni kama ni busara kwa Mr. President kuamua kufanya chochote ambacho kinaweza kuingilia ushindani katika soko maana hata kwa kupiga simu kuta sababisha wapenzi wa vituo mbalimbali vya habari kubadiri vituo wavipendavyo na pia matangazo kuongezeka zaidi sehemu alipojihusisha Mr...
  7. Nganju

    Atakayeisoma namba ni yule mwenye kipato cha chini

    Yaani adi natamani ningekuwa kwenye kitutuli nikiona unaweka tiki kwa rangi ya majani nakutia bonge la kofi kuanzia wew adi kitutuli mnaenda chini alafu nawaambia walio kwenye msitari mwingine aje afanye upumbavu aone .... Maana watu wengi wana kufa kisa hakuna huduma bora za afya alaf wew...
  8. Nganju

    Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

    Yaani adi natamani ningekuwa kwenye kitutuli nikiona unaweka tiki kwa rangi ya majani nakutia bonge la kofi kuanzia wew adi kitutuli mnaenda chini alafu nawaambia walio kwenye msitari mwingine aje afanye upumbavu aone .... Maana watu wengi wana kufa kisa hakuna huduma bora za afya alaf wew...
  9. Nganju

    GE2015 Kama hii ni kweli, then Serikali yetu ni dhalimu na haramu? Hukumu ya karma ijuu yake!

    Yaani adi natamani ningekuwa kwenye kitutuli nikiona unaweka tiki kwa rangi ya majani nakutia bonge la kofi kuanzia wew adi kitutuli mnaenda chini alafu nawaambia walio kwenye msitari mwingine aje afanye upumbavu aone .... Maana watu wengi wana kufa kisa hakuna huduma bora za afya alaf wew...
  10. Nganju

    GE2015 Kama hii ni kweli, then Serikali yetu ni dhalimu na haramu? Hukumu ya karma ijuu yake!

    Biblia inasema akuna mamlaka isiyo toka kwa mungu.... Ila hii niionayo inanipa wasiwasi au ni ile ya sauli kugoma kumpisha daudi wakati yeye alipishwa na Mungu. Eeeeegh Mungu embu tuonekanie maana tumekuwa kama mgonjwa alazimishwavyo dawa au sindano kwa tunavyo lazimishwa na kazi tuu akati sis...
  11. Nganju

    Atakayeisoma namba ni yule mwenye kipato cha chini

    Jamani kama naota embu niamsheni maana hii ndoto ni mbaya na siamini kama ni kweli plz naomba iwe ni ndoto niamke niyaone mabadiliko....
  12. Nganju

    Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

    Daaagh yaani kama nimesapu vile ninavyo jisikia au kama naumwa maana sielewi kama naota ama watanzania wamethibitisha urofa wao au tumeibiwa maana...
  13. Nganju

    Rais Kikwete amhamisha Naibu CAG na kumteua kuwa Mhasibu Mkuu wa Serikali

    Hii ni zaidi ya mara ya tatu naona wanabadilisha tuu CAG
Back
Top Bottom