Imebaki safasi moja swahiba, viti vya nyuma ntakuwa nimebeba mazagazaga; kama utaridhia basi mwache shemeji nitangulie nae, atapata nafasi ya kiti cha mbele kushoto!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naona hapa sharia inasema wazi kabisa kuwa CAG "Shall be eligible* and NOT *May be eligible*
So, kumbe sheria ina mtaka Raisi kumuongezea CAG muda wa ziada mpaka pale atakapofikisha miaka 60!
Sio kweli hili! Pawaga ni moja kati ya business hub ya mazao ya chakula kwa mkoa wa iringa hususani Iringa vijijini!
Na nadhani ingekuwa jambo jema sana endapo Makao makuu ya Wilaya yakawekwa pale Pawaga ambako tayaro pameshaonesha upotential!
Bro fuata mawazo mazuri ya wadau; mimi nilimpoteza mama sababu ya pressure; huwa sielewi mpaka Leo hii kilimsibu nini mama yangu mpaka pressure ikampanda asubuhi saa 12 akuwa bado kitandani na baada ya dk chache stroke ikampiga and few hours later umauti ukamfika!
Ndugu prwassure ni mbaya sana...
Sacrife wa Elton John
Unanikumbusha namna nilivyokuwa na feelings ngumu za maisha baada ya kuondokewa na wazazi wangu
Its not easy
Daah Lucky Dube alikuwa ananifariji nikiwa advance baada ya girlfriend wangu kuniacha kwa sababu ya umasikini nilokuwa nao but as I speak yule Dada pamoja na...
Bro tofari za kuchoma kwa idadi ulotaja hapo juu ni ndogo mno kulingana na ukubwa wa nyumba!
Pia mifuko ya saruji 20 bags haitoshi otherwise uniambie atajenga boma kwa tope then bim na nguzo ziwe!
Mabati ongeza idadi at least zifike 110 na bei yake inategemea ni bati ya aina gani na yenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.