Content yako inapingana na majina uliyoweka hapa. Unaeleza unahitaji mgombea kijana asiye vuka mika 50, hapo hapo unawaweka watu ambao hadi mwaka huo watakuwa wameshapitiliza umri kwa zaidi ya miaka 5 hadi kumi wengine. Uko serious kweli na andiko lako?
Kwanza hongera kwa safari ya kuona ukubwa wa nchi.
Watanzania wengi kutembea wanaona kama wanapoteza hela. Ndio maana maswali Yao niende Serengeti kufanya nini? Kumwona Simba tu? Ananisaidia nini?
Wapo wengi watanzania hawaijui nchi hii. Anafika sehemu kwa sababu ametumwa kikazi. Yeye mwenyewe...
BODI YA MIKOPO YAZIDI KUWAKANDAMIZA WATANZANIA MASKINI: RAIS WETU TUSAIDIE KATIKA HILI
Anaandika Justus Mbawala, 0753 917802 (Copy And Paste)
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru sana mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa namna alivyoweza kusikiliza kilio cha muda mrefu...
Kichwa cha habari na contents ulizoziandika ndani haziendani. Hakuna sehemu hata moja uliyoonyesha kuwa anafanya fundraising na kuacha siasa. Kuacha kupinga haina maana ameacha siasa.
Are we serious that ,Mr President shall win this battle? Who knows him in the World? May be if it could be hosted by our NEC, surely the victory could be 100 percent
Leo tunatimiza miaka 500 tangu Kanisa Katoliki lilipotoa waraka wa Kipapa wa kumfukuza aliyekuwa padre wake Martin Luther Januari 3, 1521. Papa alifikia uamuzi huo baada ya miaka minne ya minyukano kati ya kanisa na Luther. Luther alikuwa padre na mtawa wa kanisa katoliki kupitia shirika la...
Itashangaza sana kwenye uchaguzi huu kama kuna mtumishi anaipa CCM kura. Tumeshamuona huyu mtu jinsi alivyotutesa na kutuhadaa. Ana majibu ya hovyo kwa watumishi sana. Kura yako mwaka huu ni ya thamani sana. Watumishi acheni mazoea ya kupiga kura kwa CCM.
Ratiba rasmi ya NEC toleo la 5 la Octoba 2 mwaka huu, inaonesha namna wagombea wa vyama vyote sehemu wanazotakiwa kuwepo kwenye mikutano rasmi ya kampeni. Lakini kumekuwepo na ukiukwaji mkubwa wa ratiba hiyo kwa upande wa CCM na mgombea wake. NEC inaonesha kuigwaya CCM na mgombea wake.
Mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.