Rudisha vitu vyake vyoote rudi ulivyokuwa mwanzo then Mwambie kuwa unataka kuolewa umepata mchumba. Sio utake kung'ang'ania mali zake alizokufanyia halafu ujitie umepata mpenzi. Uchague moja tu
Wadau nilikuwa naomba kufahamishwa hizi gari aina Mitsubishi kuhusu upatikanaji wa spare, gharama zake generally . Nimetokea kuzipenda Mitsubishi RVR na Outlander.
Sasa isije kuwa ndio kama Mazda au Nissan. Maoni please.
Nianze kwanza kwa kusema SI KWELI KWAMBA kila Dawa au kila Antibiotic mtu akitumia basi itatoa Harufu ambayo ni noticeable kwenye mkojo. Yapo baadhi ya makundi ya Antibiotics yenye viambata vya Penicillins na Cephalosporins , ambayo hujumuisha dawa kama Amoxicillin, Ampiclox, Cefalexin ...
Kwa ufupi sana ni hivi. Kwanza lazima uelewe HIVAIDS ni nini. HIV/AIDS inalenga kushambulia na kufumaza kinga ya mwili. So mtu akishakuwa na HIV/ AIDS kinga ya mwili inashuka. Sasa kumbuka kuna vimelea vya magonjwa mengine yanayosababishwa na Bacteria, Fangasi na Virusi huwa mtu anakuwa navyo...
Mi watu huwa mnanishangaza sana mnapolalamika juu utumiaji wa mafuta. Unapotaka kununua gari nunu gari unaloweza kumudu kulihudumia in terms of Service zake, spare zake, bima , ulaji wa mafuta. Hii kulalamika kuwa gari fulani inakunywa mafuta ni kununua gari ambayo huna uwezo nayo. Watu wana...
Labda tu nikusahishe kwamba. Mwanamke yeyote kama hujapima nae na kupata majibu tumia tu condom. Sio hao tu uliosema bali yeyote ambaye hujaina majibu kuhsu afya yake vaa condom.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.