Ulaji wa mafuta wa Crown v6 2.5l 12km/l

Sep 8, 2013
23
11
Wadau kila mara napitia page ya enhance auto,,Kwakua nazipenda crown, najaribu kuangalia ulaji wake wa mafuta naona wameendika 12km/l,,Pamoja na web page zingine,,
Je ni kweli kwetu hapa tanzania ni hivyo? Na kama ni hivyo mbona naona crown nyingi sana zinauzwa bado ili hali zimeingizwa nchini siku chache, Nina imani wengi wanaziuza sababu ya unywaji uliokubhu wa mafuta.
Wenye experience na ulaji wa crown ukiacha wa kwenye notes za mtandaoni tushare jamani,,,
Tusije kukurupuka halafu nasisi baada ya muda turudi mitandaoni kuuza!
 
Mkuu ukinunua Crown ni sawa na umefunga nayo ndoa,ni hazifai kwa consuption ya mafuta
Tena ikiwa V6 hio ni ndoa hata kuuza huiuzi labda utauza bei ya bodaboda
Crown ikiwa Highway unaenda zaidi ya speed 110 hapo utaiona geji ya mafuta inavyopuliza
Kwa swala la Luxury,Full Options pia barabarani zinatulia,Hapo kwa Crown ni kiboko
Lkn kwa upande wa mafuta ndio ni kichef chefu hazifai
Pia
Brevis
Mark II GX 110 Grand
Mark II GX 100
Hizo zote hazifai kwasbb ni V6 kwa mafuta unaweza ukaiacha gari barabarani,hususa kwa town unatembelea gea kubwa kwasbb ya Jam hapo kila baada ya siku 2 lazma mafuta ya 40 elf yatahitajika ndio taa ya petrol izimike ktk gej ya mafuta‍♂️
Kwa uhakika ingia App ya Kupatana utazikuta hizo gari zikiwa bado safi kabisa lakini bei zake zinavyouzwa hazizidi Milion4‍♂️
 
Mkuu ukinunua Crown ni sawa na umefunga nayo ndoa,ni hazifai kwa consuption ya mafuta
Tena ikiwa V6 hio ni ndoa hata kuuza huiuzi labda utauza bei ya bodaboda
Crown ikiwa Highway unaenda zaidi ya speed 110 hapo utaiona geji ya mafuta inavyopuliza
Kwa swala la Luxury,Full Options pia barabarani zinatulia,Hapo kwa Crown ni kiboko
Lkn kwa upande wa mafuta ndio ni kichef chefu hazifai
Pia
Brevis
Mark II GX 110 Grand
Mark II GX 100
Hizo zote hazifai kwasbb ni V6 kwa mafuta unaweza ukaiacha gari barabarani,hususa kwa town unatembelea gea kubwa kwasbb ya Jam hapo kila baada ya siku 2 lazma mafuta ya 40 elf yatahitajika ndio taa ya petrol izimike ktk gej ya mafuta‍♂
Kwa uhakika ingia App ya Kupatana utazikuta hizo gari zikiwa bado safi kabisa lakini bei zake zinavyouzwa hazizidi Milion4‍♂
Ulaji wa Crown japo injini kubwa ni mzuri kuliko wa hizo Mark 2! Usiegamie kwenye sababu ya kishamba kwamba ni v6!

Jinsi unavyo floor accelerator ndio jinsi unavyojiua. Ukiendesha gari kwa rpm 3 na zaidi gia zinachelewa ku engage hata ungeendesha vits bado ingekula
 
Wadau kila mara napitia page ya enhance auto,,Kwakua nazipenda crown, najaribu kuangalia ulaji wake wa mafuta naona wameendika 12km/l,,Pamoja na web page zingine,,
Je ni kweli kwetu hapa tanzania ni hivyo? Na kama ni hivyo mbona naona crown nyingi sana zinauzwa bado ili hali zimeingizwa nchini siku chache, Nina imani wengi wanaziuza sababu ya unywaji uliokubhu wa mafuta.
Wenye experience na ulaji wa crown ukiacha wa kwenye notes za mtandaoni tushare jamani,,,
Tusije kukurupuka halafu nasisi baada ya muda turudi mitandaoni kuuza!
Niwaambie sasa, niliwahi fanya research ndogo kuhusu gari aina ya Toyota Progress Engine CC 2400, nilichofanya baada ya kukabidhiwa tu na Muuzaji nikaipiga full Tank lita around 60, nikatembea nayo muda wa siku tatu then nikarud nayo petrol station nikajaza tena full tank nikapiga hesabu lita nilizotumia kwa siku zile 3. Then nikachukua utofauti wa kilometa wa siku nakabidhiwa gari na siku ile ya tatu niliyoweka tena mafuta nikagundua kuwa kwa kila lita 1 katika zile siku 3 nimetembea km 6.5. Na huu ndo ulaji halisi wa gari zote za CC 2400 hadi 2900 km gari itatembea chini ya km 80 kwa saa Muda mwingi.
 
Safi mkuu. Naomba unijuze Gx-r v8 ulaji wake
Niwaambie sasa, niliwahi fanya research ndogo kuhusu gari aina ya Toyota Progress Engine CC 2400, nilichofanya baada ya kukabidhiwa tu na Muuzaji nikaipiga full Tank lita around 60, nikatembea nayo muda wa siku tatu then nikarud nayo petrol station nikajaza tena full tank nikapiga hesabu lita nilizotumia kwa siku zile 3. Then nikachukua utofauti wa kilometa wa siku nakabidhiwa gari na siku ile ya tatu niliyoweka tena mafuta nikagundua kuwa kwa kila lita 1 katika zile siku 3 nimetembea km 6.5. Na huu ndo ulaji halisi wa gari zote za CC 2400 hadi 2900 km gari itatembea chini ya km 80 kwa saa Muda mwingi.
 
Ulaji wa Crown japo injini kubwa ni mzuri kuliko wa hizo Mark 2! Usiegamie kwenye sababu ya kishamba kwamba ni v6!

Jinsi unavyo floor accelerator ndio jinsi unavyojiua. Ukiendesha gari kwa rpm 3 na zaidi gia zinachelewa ku engage hata ungeendesha vits bado ingekula

Duhunaendesha gari kwa Rpm3 hio gari au Guta
Eti gea zinachelewa kuji ingejkwa hio ukivuta mafuta gea zinawahi kubadili na ndio sabb ya kunywa mafuta au sio
Hawa ndio madereva waliozoea kutingisha free kila aonapo mteremkohajui athari yake ni nini
Ulaji wa mafuta sio kukandamiza xleta wewe dereva wa bajaji
Ulaji wa mafuta ni kutokana na CC ya ENGINE,unaweza ukalinganisha CC engine No-ya Vitz na ya Crown
Vits CC yake haifiki hata Elf1
Wewe hujiulizi kwanini serikali inalipisha ushuru mkubwa wa gari kutokana na CC ENGINE?
Mkuu naona labda saumu kali
 
Duhunaendesha gari kwa Rpm3 hio gari au Guta
Eti gea zinachelewa kuji ingejkwa hio ukivuta mafuta gea zinawahi kubadili na ndio sabb ya kunywa mafuta au sio
Hawa ndio madereva waliozoea kutingisha free kila aonapo mteremkohajui athari yake ni nini
Ulaji wa mafuta sio kukandamiza xleta wewe dereva wa bajaji
Ulaji wa mafuta ni kutokana na CC ya ENGINE,unaweza ukalinganisha CC engine No-ya Vitz na ya Crown
Vits CC yake haifiki hata Elf1
Wewe hujiulizi kwanini serikali inalipisha ushuru mkubwa wa gari kutokana na CC ENGINE?
Mkuu naona labda saumu kali
Hujaelewa kitu tatizo jifunze engine inavyofanya kazi. Sikuingine tuliza wenge kabla ya kupost. Wasiokimbia umande wameshaelewa we endelea na povu
 
Upo sawa kabisamkuu tena kwa uhakika zaidi weka mafuta kisha futa kilomita ktk deshboard yako ndio utaisoma vizuri
Hio inatumia lita 1 kwa km6.5 hapo hio gari bado ipo sawasawa nenda nayo miezi mi5 hivi yaani ikianza kuchoka tu itashuka tena lita1 kwa 4.5km
Wakati ukiangalia gari kama Premio,IST,Rav4 na Alteza zinakwenda Km 15 kwa lita1 ya petrol
Hayo magari uliyoyataja na hizo kilometers ulizosema unaonyesha dhahiri shahiri wewe humiliki gari aina yoyote ,sana sana utakuwa unamiliki bodaboda au baiskeli
 
Lita 1 inaenda km ngapi?
7-9km/l at average, hio ni kwa economical driving. Ukiendesha ki sifa (kwa wale wa overtake zisizo lazima na kushuka tuta anatoka na speed mia) ndio utapigwa 4.5-6km/l ama kama matunzo hafifu!
 
Mi watu huwa mnanishangaza sana mnapolalamika juu utumiaji wa mafuta. Unapotaka kununua gari nunu gari unaloweza kumudu kulihudumia in terms of Service zake, spare zake, bima , ulaji wa mafuta. Hii kulalamika kuwa gari fulani inakunywa mafuta ni kununua gari ambayo huna uwezo nayo. Watu wana magari yana 6000cc. Sasa utasemaje 2500 cc inakula. Cha msingi wewe kama ni wa duet ninua duet. Kama ni wa boda boda nunua hiyo. Usilazimishe kununua usichoweza kuhudumia. period
 
Upo sawa kabisamkuu tena kwa uhakika zaidi weka mafuta kisha futa kilomita ktk deshboard yako ndio utaisoma vizuri
Hio inatumia lita 1 kwa km6.5 hapo hio gari bado ipo sawasawa nenda nayo miezi mi5 hivi yaani ikianza kuchoka tu itashuka tena lita1 kwa 4.5km
Wakati ukiangalia gari kama Premio,IST,Rav4 na Alteza zinakwenda Km 15 kwa lita1 ya petrol
Ndugu yangu?
Nahisi unapotosha watu kwa makusudi, we unaendesha gari gani kati ya hizo?
Eti Alteza, Rav 4 km 15 kwa lita!!!
Uongo mwingine tumwogope Mungu.
Pia kutokuwa na gari si dhambi na kuwa nalo sio sifa.
 
7-9km/l at average, hio ni kwa economical driving. Ukiendesha ki sifa (kwa wale wa overtake zisizo lazima na kushuka tuta anatoka na speed mia) ndio utapigwa 4.5-6km/l ama kama matunzo hafifu!
Hapa umesema ukweli. Ndio maana hizo gari watu wanasema zinabwia. Hamna mtu ataendesha kwa principles ili uweze kupata l/km zilizoainishwa na mtengenezaji. Hio gari hapa Dar ukijitahidi Sana 6km/l.
 
Back
Top Bottom