Then you might like the walking dead.. it's very interestingKwanza ukalakala wa hawa Jamaa, usumbufu wanaoufanya unanifurahisha sanaView attachment 1961644
Working dead nimeiangalia yote. Kwenye working dead namkubali yule dada mweusi rasta pamoja na Jamaa mmoja anatembelea pikipiki kubwa na mishaleThen you might like the walking dead.. it's very interesting
View attachment 1961774
Mimi kuna hii na 24 ya Jack Bauer. Hizi huwa narudia sana kutazama mpaka leoKwanza ukalakala wa hawa Jamaa, usumbufu wanaoufanya unanifurahisha sanaView attachment 1961644
Me too aiseePB na 24 ya Jack Bauer ndio series pekee ambazo huwa sichoki kuzirudia
Hujaiangalia yote coz it's still ongoing and it'll be concluded in 2022.Working dead nimeiangalia yote. Kwenye working dead namkubali yule dada mweusi rasta pamoja na Jamaa mmoja anatembelea pikipiki kubwa na mishale
Dah! Nashukur sana mkuu kwa kunijuza ngoja niipakue maana niliishia season 12Hujaiangalia yote coz it's still ongoing and it'll be concluded in 2022.
Michonne na Darly ndio wawazungumzia.
But this guy Negan nilimpenda zaidi japo mwanzo nilikua namchukia sana. Buy he's so fun asee...
Glen na Negan are my favorites
Hapo anasema Eenie, meenie, miney, mo,catch, a tige, by,his toe, if......
View attachment 1961850
ITAKUWA SIO MPENZI WA SERIES WEWE HASA ZA AINA ILEHiyo series nzuri Season 1 pekee.....
Hizi zingine naona mambo ya ajabu tu.
Season 1 mpaka season 5, ni mambo ya kutishiana kudhuru familia tu.
Hamna maajabu mengine.
Napanda series mkuu, labda useme sio za mtindo huo.ITAKUWA SIO MPENZI WA SERIES WEWE HASA ZA AINA ILE
UNAPENDA ZA AINA YA ADVENTURES ITAKUWA ,NI MOJA YA GENRE NAZOPENDA PIANapanda series mkuu, labda useme sio za mtindo huo.
Ila we mwenyewe umeona, ni kutishiana kudhuru familia tu. Mpaka polisi kuna mda wanatishia kudhuru familia......
Nilipenda season One tu.
Black sails, last kingdom, GOT , Vikings ........hizo hata saiv ukiniambia nirudie narudia.
Akili ki vipi chief,hiyo ni muvi tu hakuna uhalisia hapo,mwenye akili hapo ni mtunzi na mwandishi wa hiyo tamthiriaHapo ndipo alipofeli huyu mwamba.
Kiukweli Jamaa ni mtulivu halafu ana akili mingi mbaya