Recent content by Ngaboson

  1. N

    Kasoro DART: Milango ya mabasi ipo kushoto wakati vituo vya abiria vipo kulia

    Vituo vya mabasi havijawai kuwa kulia hata siku moja Tanzania, milango kuwa kushoto ni sahii kabisa. Kwan tunatembelea kulia kama Burundi?
  2. N

    Kasoro DART: Milango ya mabasi ipo kushoto wakati vituo vya abiria vipo kulia

    Vituo vya mabasi havijawai kuwa kulia hata siku moja Tanzania, milango kuwa kushoto ni sahii kabisa. Kwan tunatembelea kulia kama Burundi?
  3. N

    Angalizo: Msipande ndege moja kwa pamoja viongozi wa UKAWA!!!!

    Hata mimi nimeshangaa viongozi wote kujirundika kwenye kale kandege! Wanaweza wakapotezwa wote uzao wa upinzani ukapotea! Ni hatari sana. Inabidi waambiwe kabisa vinginevyo tunaweza kupata hasara kubwa na kupoteza malengo ya kumkomboa Mtanzania na kuiingiza nchi yetu kwenye machafuko.
  4. N

    Msimamo binafsi: Mabadiliko (Yes) Lowasa (Big No)

    Amia Burundi kwa Ngurunziza ndo atakuwa raisi wako. Na kura yako ya ubunge kuwapa wapinzani hatuitaki maana tunazo nyingi tutakazopewa kutoka CCM.
  5. N

    Tofauti ya mapokezi ya Lowassa Airports akiwa CCM na akiwa CHADEMA

    Jipangeni nyie mashechk na mapadri mkampokee Magufuli na kumchagua.
  6. N

    Kauli ya Mwalimu J K Nyerere ambayo viongozi wa CCM hawakuilewa maana yake

    Hivi hao watu wa kununuliwa wanafikiwa kwa njia ipi, simu, matangazo au? Mwanza kuna tetesi kwamba kiwanja cha Furahisha hakitatolewa kwa UKAWA kesho, lakini watu wanasema mkutano utapelekwa Nyamongholo, yanapofanyikaga maonesho ya 7/7 na 8/8 umbali wa 12 Km kutoka mjini, lakini watu wako tayari...
  7. N

    Kauli ya Mwapachu Kuhusu Lowassa

    Everything has the beginning and its end. CCM has been vomited by our Almighty God, that's why they have been blind and arrogant since the election process has started. They are always confident that nobody can cause them to shake. They neglected Lowassa without checking back the consequences...
  8. N

    Kauli ya Mwapachu Kuhusu Lowassa

    YEEEEEEEES!!! The time has come and It is now. The stone which was rejected by masons ''LOWASSA'', he is the tool that God has chosen to release Tanzanians from Egypt (CCM). :rockon::peace:
  9. N

    Kauli ya Mwapachu Kuhusu Lowassa

    Everything has the beginning and its end. CCM has been vomited by our Almighty God, that's why they have been blind and arrogant since the election process has started. They are always confident that nobody can cause them to shake. They neglected Lowassa without checking back the consequences...
  10. N

    TANESCO wanamhujumu Magufuli na Silaa

    Raisi wa nchi ni Amiri Jeshi Mkuu. Maana yake yeye ndiye aliye na maamzi ya mwisho. Na unapomshauri Boss wako kuna kukubaliwa au kukataliwa. Kama wewe ungekuwa Lowassa na raisi akatupilia mbali mawazo na mapendekezo yako, ungefanyaje? Hakuna kinachoweza kufanyika nchini bili idhini ya raisi...
  11. N

    Mbowe augua ghafla, awahishwa Muhimbili

    Msiwe na hofu Makamanda, ata-recover very soon. Kumbukeni kwamba Mbowe ni chombo cha Mungu anachokitumia kwajili ya kuikomboa Tanzania. Hivyo, kama mwanadamu, mwenye mwili, kuugua ni kitu cha kawaida; mkizingatia hajasinzia vizuri tangu Mweshimiwa na Mtumishi wa Mungu Edward Lowassa kujiunga na...
  12. N

    Prof. Lipumba amewaimarisha CUF, amewatangaza UKAWA

    Uko sawa kabisa Mtumishi wa Mungu Mr JF Junior. Kuondoka kwa Lipumba ni mpango mzima wangu. Na siasa za Tanzania mwaka huu zinachanganya watu kwa sababu moja tu kwamba ni mpango wa Jehovah ambaye akili zake hazi chunguziki na njia zake hazizoleki na wanadamu. Sababu kuu iliyomfanya Lipumba...
  13. N

    Prof. Lipumba amewaimarisha CUF, amewatangaza UKAWA

    Profesa Lipumba Haruna ameonesha wazi kwamba hayupo tayari kuwaletea watanzania mabadiliko kwa kuiondoa CCM madarakani kama lengo la vyama pinzani vyote nchini. Pia ameonesha ni namna gani alivyo mbinafsi na wenye kujali maslai yake mwenyewe na familia yake. Maana kama angekuwa ni mtu aliye na...
Back
Top Bottom