Hata mimi nimeshangaa viongozi wote kujirundika kwenye kale kandege! Wanaweza wakapotezwa wote uzao wa upinzani ukapotea!
Ni hatari sana. Inabidi waambiwe kabisa vinginevyo tunaweza kupata hasara kubwa na kupoteza malengo ya kumkomboa Mtanzania na kuiingiza nchi yetu kwenye machafuko.
Hivi hao watu wa kununuliwa wanafikiwa kwa njia ipi, simu, matangazo au? Mwanza kuna tetesi kwamba kiwanja cha Furahisha hakitatolewa kwa UKAWA kesho, lakini watu wanasema mkutano utapelekwa Nyamongholo, yanapofanyikaga maonesho ya 7/7 na 8/8 umbali wa 12 Km kutoka mjini, lakini watu wako tayari...
Everything has the beginning and its end. CCM has been vomited by our Almighty God, that's why they have been blind and arrogant since the election process has started. They are always confident that nobody can cause them to shake. They neglected Lowassa without checking back the consequences...
YEEEEEEEES!!! The time has come and It is now. The stone which was rejected by masons ''LOWASSA'', he is the tool that God has chosen to release Tanzanians from Egypt (CCM). :rockon::peace:
Everything has the beginning and its end. CCM has been vomited by our Almighty God, that's why they have been blind and arrogant since the election process has started. They are always confident that nobody can cause them to shake. They neglected Lowassa without checking back the consequences...
Raisi wa nchi ni Amiri Jeshi Mkuu. Maana yake yeye ndiye aliye na maamzi ya mwisho. Na unapomshauri Boss wako kuna kukubaliwa au kukataliwa. Kama wewe ungekuwa Lowassa na raisi akatupilia mbali mawazo na mapendekezo yako, ungefanyaje? Hakuna kinachoweza kufanyika nchini bili idhini ya raisi...
Msiwe na hofu Makamanda, ata-recover very soon. Kumbukeni kwamba Mbowe ni chombo cha Mungu anachokitumia kwajili ya kuikomboa Tanzania. Hivyo, kama mwanadamu, mwenye mwili, kuugua ni kitu cha kawaida; mkizingatia hajasinzia vizuri tangu Mweshimiwa na Mtumishi wa Mungu Edward Lowassa kujiunga na...
Uko sawa kabisa Mtumishi wa Mungu Mr JF Junior. Kuondoka kwa Lipumba ni mpango mzima wangu. Na siasa za Tanzania mwaka huu zinachanganya watu kwa sababu moja tu kwamba ni mpango wa Jehovah ambaye akili zake hazi chunguziki na njia zake hazizoleki na wanadamu. Sababu kuu iliyomfanya Lipumba...
Profesa Lipumba Haruna ameonesha wazi kwamba hayupo tayari kuwaletea watanzania mabadiliko kwa kuiondoa CCM madarakani kama lengo la vyama pinzani vyote nchini. Pia ameonesha ni namna gani alivyo mbinafsi na wenye kujali maslai yake mwenyewe na familia yake. Maana kama angekuwa ni mtu aliye na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.