Recent content by NGABHAGHILA

  1. NGABHAGHILA

    Apson Mwang'onda, Mtaalam wa kuunda Mitandao isiyo na tija kisiasa, Lowassa kaa chonjo

    Hivi ww kichwani kwako zimo kweli? Ama zimekubana? Mara 2005hakumuunga mkono Pro Mwandosya mara mwaka huohuo alimuunga mkono mtandao wake ulishindwa!!!!??? Tuelewe nini? Acha Ubwege binti!!! Lini nyota ya jk iling'ara? Km nyota inang'ara kwann mitandao plus fedha? Kajipange upya .
  2. NGABHAGHILA

    Kikao cha saa tano asubuhi kati ya Hosea na Utoh dhidi ya wizi wa 200b za Escrow!

    Wakati ukifika hutahitaji hzo picha! Kila kitu kitakua peupe!
  3. NGABHAGHILA

    Dr.Slaa amwaga madawati Mivumoni Sekondari

    Dr. Slaa c wa ukanda; ni wa watz wote! C wa Bandari ya Bwagamoyo
  4. NGABHAGHILA

    UDA namba T558CVP ubavuni 229 kivukoni Mbezi ni Tsh 1,000

    Nauli haijapanda; tatizo letu ni Serikali kushindwa kusimamia sheria! Kila mtu anajifanyia atakalo!
  5. NGABHAGHILA

    Membe: Fisadi au Mwenye Afya Tata Habukaliki Mbio za Urais 2015

    Joka la mdimu ni liroho sana la madaraka! Linauchu wa madaraka wa kufa mtu!
  6. NGABHAGHILA

    Star Tv mmenikera sana mimi mtazamaji wenu

    Kati ya vituo vya televisheni nicvyopenda kuangalia kwa kuona vimekosa viwango ni Star TV. Star TV kuanzia waandishi wake; vipindi vinavyoandaliwa ni matatizo matupu utadhani hata waandishi wake ni jamii fulani ya mikoa ya kanda hiyo!!!! Ni heri TBC pamoja na ukada wake ina unafuu kuliko star tv...
  7. NGABHAGHILA

    Picha: Mwanasheria mkuu atoa taarifa kwenye vyombo vya habari

    Wameona maji yameshazidi unga!!! Hawana namna; kutumia mabavu kumewafikisha njia panda.
  8. NGABHAGHILA

    Picha: Mwanasheria mkuu atoa taarifa kwenye vyombo vya habari

    Lile zee ----- sana; akili zake zishavurugwa! Dhambi ya kuzima hoja ya Richmond inamtafuna.
  9. NGABHAGHILA

    CHADEMA imepoteza ushawishi kwa Watanzania

    Hazikutoshi zinakubana tupe taarifa ya utafiti wako : Ukituambia vigezo vilivyotumika; idadi ya watu uliowahoji; nafasi zao ktk jamii; mahali wanapotoka n.k Unadhani ukisema "utafiti nilioufanya" basi inakuwa umefanya utafiti? We ----- kweli
  10. NGABHAGHILA

    Jenister Mhagama

    Hujatulia kabisaaaaa! Teh! Teh! Teh!
  11. NGABHAGHILA

    Jenerali Ulimwengu afunguka: Muislamu 'khamsa-swalawat'

    Mnyarwanda kwa kigezo gani? Acheni ubaguzi mkiona mnaambiwa ukweli!!! Uraia wa Tz upo wa aina ngapi? Mbona hamsemi wakina Rage? Hizo tabia zenu kama za yule chinga aliemrithi mzee Ruksa hatuzitaki! Jibuni hoja na c kuuliza uraia wa mtu! Ulimwengu kisha wabwagia ukweli, jitu zima na akili zake...
  12. NGABHAGHILA

    Ni lini "wenzetu katika imani" nao watalaaniwa kwa Mauaji?

    Hayo yanaingiaje? Nani anatope kati yako na mtoa Uzi? Pamoja na yote aliyoongelea mtoa Uzi amehitimisha kwa kushauri Palestina na Israel ziombewe zipate amani! Unapoingiza mambo ya fungu la kumi, Mara Yesu yanahuckaje hapo? Umeona kwenye thread amatajwa Mtume Muhammad (S.A.W)? Huoni km wewe...
  13. NGABHAGHILA

    Wasifu wa Masha: Maswali na Majibu

    Abanwe kisa kutokupita J.K.T? Mbona watz tunakuwa wavivu wa kufikili vitu vya mcngi? Akibanwa iweje sasa? Aende sahv ili akapitie JKT? Akipita wewe itakusaidia nini? Umarekani uko wapi hapa? Ni wakuzaliwa, kuomba au? Mzaliwa wa Sengerema ni mmarekan? Kaomba uraia? Siasa hizi zitaliangamiza taifa...
Back
Top Bottom