Kuhusu mtaji inafutana na mahli ulipo kuna watu wanaanza na mtaji ata wa laki lkn mtu anapiga ela unaweza kwenda kkoo na lak moja ukaja na chupi kibao au kidogo kitu cha kwanza unachotakiwa kujua ni lazma ujue unafungua biashara sehemu yenye watu wa aina gani maana kuna chupi za kila aina kuna...
Hii biashara ni nzuri sana kama eneo unapotaka kuweka kuna biashara pia ni biashara yenye faida ndogo sana lakn kama unaweza kuuza chupi kuanzia dozen tano na kuendelea unapiga ela mm nafanya biashara hii ni mwaka sasa lakn nilipo ni sehem ambyo haina mzunguko kivile lakn napambana sana, aliye...
1. Bei ya machine inacheza kwenye milion 8-milion 16 zinapatkina kwa wachina wenyewe au unaweza kuagiza nje, SIDO wanauza lakn Visu vyake sio imara zinawah kuharibika, umeme ata single
2. upatikanaji wa chupa wanaokuletea ni vijana sana sana ni mateja, unafungua kijiwe wenyewe wanakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.