Habari zenu wanajamvi,
Naomba kuuliza kama kuna mwenye taarifa yoyote kuhusu nafasi za kazi za wachina zilizotolewa kwenye exhibition iliyofanyika kwenye viwanja vya UDSM.
Asanteni.
Inategemea na kitengo ulichopangiwa ukideal na mikopo midogo ya wakinamama lazma utaona ugumu wake mishahara ni midogo, pale ni kudeal na rushwa kichini chin za wanaochukua mikopo ila wahind wakikufuma huna kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.