Recent content by nextmp

  1. N

    Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

    Lumumba at work! taratibu Edo utaua watu manaake n shiiiiiiiida
  2. N

    Taasisi ya Kiislam yatoa tamko dhidi ya Lowassa na Gwajima, kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015

    Pesa mwanaharam baada ya kuwanunua viongoz akwepo lipumba na slaa, wasanii, vituo vya utafiti sasa ni zamu ya viongoz wa dini! Kwel punda kifoni, tutaona mengi!
  3. N

    Vurugu Kinondoni, Dar: Mabomu yatumika kutuliza ghasia

    Watashndana Hawatashnda!
  4. N

    Mwenezi wa CHADEMA Mkoa wa Dodoma na Mtwara wajiunga na CCM

    Hivi leo ccm mmefikia hatua ya kuwa wadanganyifu kias hiki, meamua kujtekenya na kucheka wenyewe. huyo mnaemwita mwenez mkoa wa mtwara alikua ni katbu mwenez chadema kata ya reli, alivuliwa uongoz baada ya kujaribu kuwashawishi baadhi ya wanachama kwa kununua kad za chadema ili awape ccm ili...
  5. N

    Dr. Slaa: Sijatoa tamko lolote, Sitokuwepo Jangwani Kwenye uzinduzi wa Kampeni za CCM

    Mh dr. Slaa message imefika watanzania wamekuelewa tafadhar tugange yajayo, tuanze upya mahitaji na matamanio ya wananchi ni msingi mkuu katika uongoz na ili kutimiza kiu au matamanio hayo ni lazma tuwe wamoja kuliko kutengana! Dr. historia ya nchi hii katu haitokuacha kando bali itakuenz kama...
  6. N

    Kamanda Lowassa: CCM ni hodari kwa kuiba kura

    Wataisoma namba!!!
  7. N

    Wanachama 600 wa CCM wachana kadi zao Muheza !

    Mwishoe watabak baba ritz na mama ritz tuu!
  8. N

    Dk. Slaa kurejea ofisini CHADEMA

    Siku yang itakua njema sana!! coz tunahitaj kuwa wamoja kuliko wakati wowote ule, huu ni wakat ambao taifa linakwenda kupata uhuru na ukombozi!! Mungu akujalie Dr Slaa uone na kutambua fursa hii admu ambayo wanamageuz tumeipata ya kuivusha nchi yetu kuelekea Tanzania tunayoitaka.
  9. N

    Maalim Seif ahutubia umati wa wafuasi wa CUF Buguruni saa 3 usiku jana

    Tutashinda tu iwe mvua iwe jua!!! viva ukawa
  10. N

    Heri Zitto Kabwe kuliko Dr.slaa

    Magamba mmevurugwa cku dr aktoka hadharan na kukanusha uongo wenu mtakamatwa na matumbo ya kuha......????
  11. N

    Dr. Slaa: Uongo ni dhambi na siko tayari kuishiriki!

    Ngoja tusikilizie kikao cha kamat kuu na mkutano mkuu, kama hatoudhuria tutajua kwel anamaanisha, lasivyo ni mkakat tu wakuipukutisha ccm cku atakapojitokeza hadharan na kukanusha huo uvumi!
  12. N

    Dr. Slaa tafadhali sana baba, tumeyaona uliyoyafanya

    Dr toa neno kuokoa nafsi zinazoumia kwa ukimya wako, ukmya wako unasurubu nafs za watz walioteseka na mfumo mbovu wa ccm! tazama nyuma, tazama tulipo na tazama tuendako. Maadui wanashangilia wakjua ukmya wako ni siraha kwao. Toa Neno Dr wa2 wako tupone, taifa lako lipone, toa neno dr Mungu...
  13. N

    Aliyekuwa Meya Arusha atimkia CHADEMA

    bado dhoruba linakuja kuiangusha ccm, tujpe subira!! Mungu akpanga nan wakupinga??
  14. N

    Dk. Slaa atikisa

    Ahsante Kwa taarifa! uzush huu umepelekea usumbufu mkubwa sana kwa wanachama wetu! wa2 wamejawa na hofu kubwa sana dhd ya huo huzush
  15. N

    Mgombea ubunge CCM Charles Shigino, atupa kadi ya CCM na kuhamia CHADEMA

    Karibu sana uvae gwanda na utambue kwamba huku nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi
Back
Top Bottom