Alitabiri nini mkuu??.Unabii wa mtumishi wa Mungu Z.Kakobe unaanza kutimia.
Mkuu achana na huyo division Vkwa hiyo wewe ulielewa hakuna hata mmoja???hivi unavyosikia tanzania ni nchi ya dunia ya tatu unadhani watanzania wote kabisakabisa wanaishi kwa viwango vya dunia ya tatu???
si tuliambiwa kuwa arusha hakuna c.c.m... sasa huyo ametoka chama gani tena diwani?? tuongee na kuweka akiba ya maneno ndugu zangu
Bhaelezee.......si tuliambiwa kuwa arusha hakuna c.c.m... sasa huyo ametoka chama gani tena diwani?? tuongee na kuweka akiba ya maneno ndugu zangu
Si wanasema kuondoka kwa Lowassa hakutawatikisa? na bado! hiyo ni rasha rasha tu bado mvua yenyewe.......Makufuli Tunavunja na pombe Tunamwaga...
kwa hiyo wewe ulielewa hakuna hata mmoja???hivi unavyosikia tanzania ni nchi ya dunia ya tatu unadhani watanzania wote kabisakabisa wanaishi kwa viwango vya dunia ya tatu???