Nilikua nimetulia zangu nyumbani sina vurugu na mtu gafla nakutana na post kama hizi,,, hua nachanganyikiwa kiasi kwamba huyu mtu angekua karibu angetunjikwa juu
Sasa10 nae unasema ni mksmalia? Mtu kazi yske ni kupromo paripesa halafu mikeka anayopost hakuna hat mmoja ambao uliwahi kutik ila yeye snaleta iliowin.
Hapo hakuna cha milioni wala laki. Mandiko yanasema ukitamani ujue tayari umetimiza,,, na sisi chaputa unatuokoaga huo msemo. Kwa hiyo udihangaike maana tsysri ushaijenga kichwani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.