Uzi mzur tatizo naona kama hakuna aliyeko kwenye ndoa hapa nyingi naona ni theory.
Mwanamke aliyekomaa martured, na mwanaume aliyekomaa wanaoishi Kwa heshima ya uwanauke na una ume wao tu. Nimeshuhudia ndoa mwanaume anahangaika na mke anahangaika. Sio heshima ukiwa umekaa ndani tu.
Hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.