Wewe hyo yako haina longolongo we anza kujiwekea kaka. Hyo unalipwa wakati wowote. Ila kama mimi ningekua wewe ni bora ninunue shares kwenye makampuni mfano NMB ambapo utapata dividend na pia unaweza kuziuza kwa bei nzuri baadae kuliko nssf.
Unawezaje kumzungusha mtu kwa delays zinazohusisha wafanyakazi wa ndani(wa nssf) na wakati mtu ametimiza kila taratibu za kisheria. Tuweni serious tuache kutetea uzembe. Mfano kuna waajiri hawapeleki michango ya wafanyakazi wao mpaka miaka 2 halafu hapo utasema kuna utendaji lazi? Ukizingatia...
Habari wana JF!
Ndugu zangu ninawaomba kila mmoja kwa wakati wake akiweza apite kwenye tawi lolote la NSSF nchini atake kupatiwa huduma yeyote ajionee jinsi pesa za walipa kodi zinavyotumika kulipa wapiga stori wanaojiita wafanyakazi.
Nimewahi kufika tawi la Arusha mjini kwenye kitengo cha...
Habari wana JF!
Ndugu zangu nimefanya kazi katika baadhi ya viwanda mkoa wa Pwani nimegundua wapo Watanzania wanafanyakazi maeneo hatarishi sana.
Ndugu zangu kama mnavyojua viwandani kuna kemikali na emissions nyingi mno. Ingawa kwenye sheria zetu kuna taratibu nyingi zimewekwa kwa ajili ya...
Habari wana JF!
Nimekua nikifuatilia media za Kenya expecially TV stations Citizen TV nikajifunza kua media za Kenya zina uzalendo mkubwa sana. Mfano kama kuna issue ya kitaifa hua wanafanya a national conversation, wanapeleka watangazaji kila pande ya nchi yao halafu watu wanatoa michango yao...
Sasa ndugu yangu kila siku taasisi zinaboresha. Hata kwa ufahamu wako tuu huoni kwamba mtu mmoja kuchaguliwa posts zaidi ya moja tena zote serikalini ni lack of seriousness na pia ni matumizi mabaya ya fedha za umma kuendesha usahili hovyo hovyo kiasi hicho. Na Rais aliwahi kusema mifumo ya...
Habari wana JF!
Kama mnakumbuka mwezi July 2023 utumishi walitoa nafasi za ajira kwa kada mbalimbali zikiwemo za uhasibu na manunuzi kwa MDAs na LGAs. Mwezi huu tarehe 4 kuna kada waliitwa interview isipokua uhasibu na manunuzi, na sababu inasemekana wanasubiri TRA wamalize mchakato ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.