Mimi mwenzenu wakati nahamia Kigoma nilikutana na wale wazee wa karata 3 pale kwa bela walioko Kigoma wanapajua. Walitaka kinila pesa, ila sikua na za kutosha wakachukua sim yangu. Kilichotokea........
Nilienda kuwachukua vijana wenzangu kama 20 hivi, tulienda kuwachakaza na kuwapeleka central...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.