Kwa mimi nadhan mwakinyo anamuogopa sana.. Twaha kiduku.. Ila anachoogopa zaid ni kupoteza title mapema.. Mnoo. Ila tu uwezo wa twaha ni unstopable.. . Show show... Ezy...
Sema kidogo mtu unapoanzisha kitu kuwa makin kama umeelewa kwel au vip.. Kauli inasema Nikiibiwa*.. Sio nikishindwa. . ukijua utofauti hapa njoo ulete tena topic.
Ulikwenda vizuri sana lakini umemaliza vibaya. Kwani ningetegemea utoe hata sababu ya kuwa ni kipi kimefanya chama tawala kibaki.
Je ni kwamba hakijawa tayari kuachia madaraka.. Au ni kwamba hakijaona mpinzani wa kumwachia madaraka au ni kwamba kimefanya mengi ambayo watu wamekuja kuyaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.