Kinachoponza Vyama vya Upinzani kutochukua Nchi ni "Mwelekeo" wao kisiasa

Masinki

JF-Expert Member
Dec 18, 2014
695
460
Neno "Mwelekeo" ndio sababu kuu ya Vyama vya upinzani kutokubalika na kuaminiwa kupatiwa Nchi na watanzania.

Uchaguzi wa mwaka 1995 upinzani chini ya NCCR Mageuzi ilibaki kidogo kuchukua nchi chini ya Augostino Lyatonga Mrema, kabla ya watanzania kushtuka dakika za mwishoni baada ya Baba wa Taifa Mwl. Julius K Nyerere kutoa speech kali iliyoonesha Mwelekeo wa CCM na utofauti upinzani ambao walikuwa hawana, KAZI ikaishia kwenye Sanduku la kura ambalo lilimpa ushindi hayati Benjamin W Mkapa wa Chama cha Mapinduzi.

Mwaka 2000 Chama cha wananchi CUF chini ya Profesa Ibrahim Haruna Lipumba kiliibuka kuwa na agenda kali na kukubalika Kwa kiasi na baadhi ya wananchi lakini shida ikabaki palepale Mwelekeo wao kisiasa ni upi? Hadi kutosha kupewa Nchi? Jibu hili lilichakatwa na watalaam ikaonekana bado sio Chama sahihi cha kuchukua Nchi Kwa sababu Nchi sio Miguu kila mtu awe nayo ni zaidi ya hiyo.

Mwaka 2005 Chama cha wananchi tena kilikuwa bado kina nguvu kidogo na hapo hapo CHADEMA wakawa wanaibukia chini ya Freeman Aikael Mbowe aliyekuwa mgombea wao wa Urais na mshindi wa Tatu katika kinyang'anyiro hicho walipimana ubavu na Chama pendwa cha CCM chini ya Jakaya Mrisho Kikwete aliyekuwa anapendeka Sana na wananchi Kwa kipindi hicho kama ilivyo ada CCM ilishinda dhidi ya upinzani tatizo likawa lile lile Mwelekeo wao ni upi?

Mwaka 2010 CHADEMA wakawa na slogan yao ya People's Power na agenda nzuri tu za kukemea Rushwa,ubadhirifu wa Mali za umma na mengine mengi yaliyogusa nyoyo za watanzania chini ya Mtu mwenye Mwelekeo kidogo ya kiuongozi na shupavu wa siasa hapa Nchini Dkt. Wilbroad Peter Slaa ilibaki hivii kupewa Nchi lakini je? Dkt. Wilbroad Peter amezungukwa na watu wa aina gani? Ndio lilikuwa swali muhimu Kwa watanzania!!! Ikajulikana Dkt. Slaa ni mwadilifu lakini kazungukwa na mafisi!! Kazungukwa na Chama ambacho wengi wao wanatiliwa mashaka lakini pia hawana Nia na Mwelekeo mzuri na Taifa hili hapo Sanduku la kura likatoa jibu.

Mwaka 2015 ulikuwa ni kituko zaidi Kwa CHADEMA walimleta mtu Yule waliyekuwa wanawaimanisha ni fisadi mkubwa Nchini na aliyekataliwa na CCM pamoja system zote za Nchi kutokana na history background yake ya kisiasa sio mwingine ni Edward Ngoyai Lowassa!!! Kwa wananchi alionekana Lulu na mkombozi wa matatizo yao lakini wananchi hao hao wakawa na maswali Lowassa ni Nani?? Wakamshangilia dakika za lala salama za kampeni wengi wao wakagutuka wakarudi kuangalia documents na wasifu wa kila mgombea hatimaye mioyo yao ikasema hapana nyumbani ni CCM chini ya Jiwe Dr John Magufuli,, Lowassa akazikwa rasmi kwenye Sanduku la kura sababu ni zile zile Mwelekeo wao ni upi?

Mwaka 2020 CHADEMA Kwa mara nyingine wamejitutumua wakamleta mtu waliyedhani ni mwiba mkali,mtu aliyeponea mauti Kwa risasi Zinazosemekana 16,mwanaharakati na mtu mbishi kuwahi kutokea ambaye kinywa chake kimejaa matusi Kwa viongozi aliokuwa anaenda kuwastaafisha majukumu ya Nchi,vyombo vya ulinzi na usalama ambao kama angeshinda wangeenda kumlinda Kwa mioyo yao yote sio mwingine ni Mwanasheria Tundu Antiphas Lissu,kilichotokea kila mtu anajua watanzania walimfuata katika mikutano yake lengo likiwa ni moja Tu kuona ukuu wa Mungu basi the rest is history, Sanduku la kura lilitoa majibu sababu ni zile zile Mwelekeo wao ni upi??? Nani anapenda kuuzwa mchana kweupe??. TL awe Rais???thubutu!!!! Huwezi kuchagua Giza wakati Nuru bado IPO!!! Wapinzani bado Sana mjipange na mkubali kushirikiana na serikali ili iwape semina ya namna ya kuongoza Nchi!!!


Masinki,mtanzania
 
Kuchukua nchi haitaji slogan yoyote uchaguzi unatakiwa uwe wa haki tu kuwa mpinzani kwenye nchi hii ni mateso kweli kweli hiv unajua kuna wapinzani mpka sasa wanashiliwa na vyombo vya dola kisa tu ni wapinzan walipinga hujuma kwenye uchaguzi je unajua wale wa chama tawala walikamatwa na rushwa takukuru wamewaachia kwamba chama chao ndio kiwaazibu mgombea wa urahisi kambilia kuomba hifadhi ubalozini kwasababu maisha yake yapo hatarini vaene viatu vya kwa siku moja muone
 
Neno "Mwelekeo" ndio sababu kuu ya Vyama vya upinzani kutokubalika na kuaminiwa kupatiwa Nchi na watanzania.

Uchaguzi wa mwaka 1995 upinzani chini ya NCCR Mageuzi ilibaki kidogo kuchukua nchi chini ya Augostino Lyatonga Mrema, kabla ya watanzania kushtuka dakika za mwishoni baada ya Baba wa Taifa Mwl. Julius K Nyerere kutoa speech kali iliyoonesha Mwelekeo wa CCM na utofauti upinzani ambao walikuwa hawana, KAZI ikaishia kwenye Sanduku la kura ambalo lilimpa ushindi hayati Benjamin W Mkapa wa Chama cha Mapinduzi.

Mwaka 2000 Chama cha wananchi CUF chini ya Profesa Ibrahim Haruna Lipumba kiliibuka kuwa na agenda kali na kukubalika Kwa kiasi na baadhi ya wananchi lakini shida ikabaki palepale Mwelekeo wao kisiasa ni upi? Hadi kutosha kupewa Nchi? Jibu hili lilichakatwa na watalaam ikaonekana bado sio Chama sahihi cha kuchukua Nchi Kwa sababu Nchi sio Miguu kila mtu awe nayo ni zaidi ya hiyo.

Mwaka 2005 Chama cha wananchi tena kilikuwa bado kina nguvu kidogo na hapo hapo CHADEMA wakawa wanaibukia chini ya Freeman Aikael Mbowe aliyekuwa mgombea wao wa Urais na mshindi wa Tatu katika kinyang'anyiro hicho walipimana ubavu na Chama pendwa cha CCM chini ya Jakaya Mrisho Kikwete aliyekuwa anapendeka Sana na wananchi Kwa kipindi hicho kama ilivyo ada CCM ilishinda dhidi ya upinzani tatizo likawa lile lile Mwelekeo wao ni upi?

Mwaka 2010 CHADEMA wakawa na slogan yao ya People's Power na agenda nzuri tu za kukemea Rushwa,ubadhirifu wa Mali za umma na mengine mengi yaliyogusa nyoyo za watanzania chini ya Mtu mwenye Mwelekeo kidogo ya kiuongozi na shupavu wa siasa hapa Nchini Dkt. Wilbroad Peter Slaa ilibaki hivii kupewa Nchi lakini je? Dkt. Wilbroad Peter amezungukwa na watu wa aina gani? Ndio lilikuwa swali muhimu Kwa watanzania!!! Ikajulikana Dkt. Slaa ni mwadilifu lakini kazungukwa na mafisi!! Kazungukwa na Chama ambacho wengi wao wanatiliwa mashaka lakini pia hawana Nia na Mwelekeo mzuri na Taifa hili hapo Sanduku la kura likatoa jibu.

Mwaka 2015 ulikuwa ni kituko zaidi Kwa CHADEMA walimleta mtu Yule waliyekuwa wanawaimanisha ni fisadi mkubwa Nchini na aliyekataliwa na CCM pamoja system zote za Nchi kutokana na history background yake ya kisiasa sio mwingine ni Edward Ngoyai Lowassa!!! Kwa wananchi alionekana Lulu na mkombozi wa matatizo yao lakini wananchi hao hao wakawa na maswali Lowassa ni Nani?? Wakamshangilia dakika za lala salama za kampeni wengi wao wakagutuka wakarudi kuangalia documents na wasifu wa kila mgombea hatimaye mioyo yao ikasema hapana nyumbani ni CCM chini ya Jiwe Dr John Magufuli,, Lowassa akazikwa rasmi kwenye Sanduku la kura sababu ni zile zile Mwelekeo wao ni upi?

Mwaka 2020 CHADEMA Kwa mara nyingine wamejitutumua wakamleta mtu waliyedhani ni mwiba mkali,mtu aliyeponea mauti Kwa risasi Zinazosemekana 16,mwanaharakati na mtu mbishi kuwahi kutokea ambaye kinywa chake kimejaa matusi Kwa viongozi aliokuwa anaenda kuwastaafisha majukumu ya Nchi,vyombo vya ulinzi na usalama ambao kama angeshinda wangeenda kumlinda Kwa mioyo yao yote sio mwingine ni Mwanasheria Tundu Antiphas Lissu,kilichotokea kila mtu anajua watanzania walimfuata katika mikutano yake lengo likiwa ni moja Tu kuona ukuu wa Mungu basi the rest is history, Sanduku la kura lilitoa majibu sababu ni zile zile Mwelekeo wao ni upi??? Nani anapenda kuuzwa mchana kweupe??. TL awe Rais???thubutu!!!! Huwezi kuchagua Giza wakati Nuru bado IPO!!! Wapinzani bado Sana mjipange na mkubali kushirikiana na serikali ili iwape semina ya namna ya kuongoza Nchi!!!


Masinki,mtanzania
With a barrel of gun any idiot can be declared a president.
 
Ulikwenda vizuri sana lakini umemaliza vibaya. Kwani ningetegemea utoe hata sababu ya kuwa ni kipi kimefanya chama tawala kibaki.

Je ni kwamba hakijawa tayari kuachia madaraka.. Au ni kwamba hakijaona mpinzani wa kumwachia madaraka au ni kwamba kimefanya mengi ambayo watu wamekuja kuyaona kipindi cha kupiga kura tu...!?

Kwa maana tukiangalia jinsi uchaguzi ulivyo kwenda dosari zozote zile zimeonekana ni kama uchochozi tu na zimeangaliwa kwa upandw mmoja tu. Au ni kwamba chama tawala kina wafanyia wananchi wote maamuzi kuwa nani anastahiri kwao.

Na sio wenyewe wanamtaka nani awe kiongozi wao.
 
Mwl Nyerere alishatuonya kwamba; "tukifanya mzaha wa ulevi wa amani tukawapa dola wapinzani Dunia itatushangaa" by mwl Nyerere
 
Neno "Mwelekeo" ndio sababu kuu ya Vyama vya upinzani kutokubalika na kuaminiwa kupatiwa Nchi na watanzania.

Uchaguzi wa mwaka 1995 upinzani chini ya NCCR Mageuzi ilibaki kidogo kuchukua nchi chini ya Augostino Lyatonga Mrema, kabla ya watanzania kushtuka dakika za mwishoni baada ya Baba wa Taifa Mwl. Julius K Nyerere kutoa speech kali iliyoonesha Mwelekeo wa CCM na utofauti upinzani ambao walikuwa hawana, KAZI ikaishia kwenye Sanduku la kura ambalo lilimpa ushindi hayati Benjamin W Mkapa wa Chama cha Mapinduzi.

Mwaka 2000 Chama cha wananchi CUF chini ya Profesa Ibrahim Haruna Lipumba kiliibuka kuwa na agenda kali na kukubalika Kwa kiasi na baadhi ya wananchi lakini shida ikabaki palepale Mwelekeo wao kisiasa ni upi? Hadi kutosha kupewa Nchi? Jibu hili lilichakatwa na watalaam ikaonekana bado sio Chama sahihi cha kuchukua Nchi Kwa sababu Nchi sio Miguu kila mtu awe nayo ni zaidi ya hiyo.

Mwaka 2005 Chama cha wananchi tena kilikuwa bado kina nguvu kidogo na hapo hapo CHADEMA wakawa wanaibukia chini ya Freeman Aikael Mbowe aliyekuwa mgombea wao wa Urais na mshindi wa Tatu katika kinyang'anyiro hicho walipimana ubavu na Chama pendwa cha CCM chini ya Jakaya Mrisho Kikwete aliyekuwa anapendeka Sana na wananchi Kwa kipindi hicho kama ilivyo ada CCM ilishinda dhidi ya upinzani tatizo likawa lile lile Mwelekeo wao ni upi?

Mwaka 2010 CHADEMA wakawa na slogan yao ya People's Power na agenda nzuri tu za kukemea Rushwa,ubadhirifu wa Mali za umma na mengine mengi yaliyogusa nyoyo za watanzania chini ya Mtu mwenye Mwelekeo kidogo ya kiuongozi na shupavu wa siasa hapa Nchini Dkt. Wilbroad Peter Slaa ilibaki hivii kupewa Nchi lakini je? Dkt. Wilbroad Peter amezungukwa na watu wa aina gani? Ndio lilikuwa swali muhimu Kwa watanzania!!! Ikajulikana Dkt. Slaa ni mwadilifu lakini kazungukwa na mafisi!! Kazungukwa na Chama ambacho wengi wao wanatiliwa mashaka lakini pia hawana Nia na Mwelekeo mzuri na Taifa hili hapo Sanduku la kura likatoa jibu.

Mwaka 2015 ulikuwa ni kituko zaidi Kwa CHADEMA walimleta mtu Yule waliyekuwa wanawaimanisha ni fisadi mkubwa Nchini na aliyekataliwa na CCM pamoja system zote za Nchi kutokana na history background yake ya kisiasa sio mwingine ni Edward Ngoyai Lowassa!!! Kwa wananchi alionekana Lulu na mkombozi wa matatizo yao lakini wananchi hao hao wakawa na maswali Lowassa ni Nani?? Wakamshangilia dakika za lala salama za kampeni wengi wao wakagutuka wakarudi kuangalia documents na wasifu wa kila mgombea hatimaye mioyo yao ikasema hapana nyumbani ni CCM chini ya Jiwe Dr John Magufuli,, Lowassa akazikwa rasmi kwenye Sanduku la kura sababu ni zile zile Mwelekeo wao ni upi?

Mwaka 2020 CHADEMA Kwa mara nyingine wamejitutumua wakamleta mtu waliyedhani ni mwiba mkali,mtu aliyeponea mauti Kwa risasi Zinazosemekana 16,mwanaharakati na mtu mbishi kuwahi kutokea ambaye kinywa chake kimejaa matusi Kwa viongozi aliokuwa anaenda kuwastaafisha majukumu ya Nchi,vyombo vya ulinzi na usalama ambao kama angeshinda wangeenda kumlinda Kwa mioyo yao yote sio mwingine ni Mwanasheria Tundu Antiphas Lissu,kilichotokea kila mtu anajua watanzania walimfuata katika mikutano yake lengo likiwa ni moja Tu kuona ukuu wa Mungu basi the rest is history, Sanduku la kura lilitoa majibu sababu ni zile zile Mwelekeo wao ni upi??? Nani anapenda kuuzwa mchana kweupe??. TL awe Rais???thubutu!!!! Huwezi kuchagua Giza wakati Nuru bado IPO!!! Wapinzani bado Sana mjipange na mkubali kushirikiana na serikali ili iwape semina ya namna ya kuongoza Nchi!!!


Masinki,mtanzania
Je umeangalia mazingira ya uchaguzi ,kuanzia kurudisha form .kampeni .kupiga kura na kuhesabu kura.Kama umeona vipengelea vyote vipo sawa basi .Nakuweka katika kundi la watu Moron
 
Acha kuzunguka mbuyu. Wagombea wa upinzani waliengeliwa kwenye uteuzi. Kura zimepigiwa majumbani kwa wagombea wa CCM na kupelekwa kwenye vituo vya kura kwenye mabegi. Mawakala walikataliwa kuingia vituoni, isipokuwa wa CCM. Kule Zanzibar, kura ya 27 Okt 2020 bila mawakala wa vyama vya upinzani, Wakurugenzi waliagizwa kutotangaza wapinzani...
Neno "Mwelekeo" ndio sababu kuu ya Vyama vya upinzani kutokubalika na kuaminiwa kupatiwa Nchi na watanzania.

Uchaguzi wa mwaka 1995 upinzani chini ya NCCR Mageuzi ilibaki kidogo kuchukua nchi chini ya Augostino Lyatonga Mrema, kabla ya watanzania kushtuka dakika za mwishoni baada ya Baba wa Taifa Mwl. Julius K Nyerere kutoa speech kali iliyoonesha Mwelekeo wa CCM na utofauti upinzani ambao walikuwa hawana, KAZI ikaishia kwenye Sanduku la kura ambalo lilimpa ushindi hayati Benjamin W Mkapa wa Chama cha Mapinduzi.

Mwaka 2000 Chama cha wananchi CUF chini ya Profesa Ibrahim Haruna Lipumba kiliibuka kuwa na agenda kali na kukubalika Kwa kiasi na baadhi ya wananchi lakini shida ikabaki palepale Mwelekeo wao kisiasa ni upi? Hadi kutosha kupewa Nchi? Jibu hili lilichakatwa na watalaam ikaonekana bado sio Chama sahihi cha kuchukua Nchi Kwa sababu Nchi sio Miguu kila mtu awe nayo ni zaidi ya hiyo.

Mwaka 2005 Chama cha wananchi tena kilikuwa bado kina nguvu kidogo na hapo hapo CHADEMA wakawa wanaibukia chini ya Freeman Aikael Mbowe aliyekuwa mgombea wao wa Urais na mshindi wa Tatu katika kinyang'anyiro hicho walipimana ubavu na Chama pendwa cha CCM chini ya Jakaya Mrisho Kikwete aliyekuwa anapendeka Sana na wananchi Kwa kipindi hicho kama ilivyo ada CCM ilishinda dhidi ya upinzani tatizo likawa lile lile Mwelekeo wao ni upi?

Mwaka 2010 CHADEMA wakawa na slogan yao ya People's Power na agenda nzuri tu za kukemea Rushwa,ubadhirifu wa Mali za umma na mengine mengi yaliyogusa nyoyo za watanzania chini ya Mtu mwenye Mwelekeo kidogo ya kiuongozi na shupavu wa siasa hapa Nchini Dkt. Wilbroad Peter Slaa ilibaki hivii kupewa Nchi lakini je? Dkt. Wilbroad Peter amezungukwa na watu wa aina gani? Ndio lilikuwa swali muhimu Kwa watanzania!!! Ikajulikana Dkt. Slaa ni mwadilifu lakini kazungukwa na mafisi!! Kazungukwa na Chama ambacho wengi wao wanatiliwa mashaka lakini pia hawana Nia na Mwelekeo mzuri na Taifa hili hapo Sanduku la kura likatoa jibu.

Mwaka 2015 ulikuwa ni kituko zaidi Kwa CHADEMA walimleta mtu Yule waliyekuwa wanawaimanisha ni fisadi mkubwa Nchini na aliyekataliwa na CCM pamoja system zote za Nchi kutokana na history background yake ya kisiasa sio mwingine ni Edward Ngoyai Lowassa!!! Kwa wananchi alionekana Lulu na mkombozi wa matatizo yao lakini wananchi hao hao wakawa na maswali Lowassa ni Nani?? Wakamshangilia dakika za lala salama za kampeni wengi wao wakagutuka wakarudi kuangalia documents na wasifu wa kila mgombea hatimaye mioyo yao ikasema hapana nyumbani ni CCM chini ya Jiwe Dr John Magufuli,, Lowassa akazikwa rasmi kwenye Sanduku la kura sababu ni zile zile Mwelekeo wao ni upi?

Mwaka 2020 CHADEMA Kwa mara nyingine wamejitutumua wakamleta mtu waliyedhani ni mwiba mkali,mtu aliyeponea mauti Kwa risasi Zinazosemekana 16,mwanaharakati na mtu mbishi kuwahi kutokea ambaye kinywa chake kimejaa matusi Kwa viongozi aliokuwa anaenda kuwastaafisha majukumu ya Nchi,vyombo vya ulinzi na usalama ambao kama angeshinda wangeenda kumlinda Kwa mioyo yao yote sio mwingine ni Mwanasheria Tundu Antiphas Lissu,kilichotokea kila mtu anajua watanzania walimfuata katika mikutano yake lengo likiwa ni moja Tu kuona ukuu wa Mungu basi the rest is history, Sanduku la kura lilitoa majibu sababu ni zile zile Mwelekeo wao ni upi??? Nani anapenda kuuzwa mchana kweupe??. TL awe Rais???thubutu!!!! Huwezi kuchagua Giza wakati Nuru bado IPO!!! Wapinzani bado Sana mjipange na mkubali kushirikiana na serikali ili iwape semina ya namna ya kuongoza Nchi!!!


Masinki,mtanzania
 
W
kuchukua nchi haitaji slogan yoyote uchaguzi unatakiwa uwe wa haki tu kuwa mpinzani kwenye nchi hii ni mateso kweli kweli hiv unajua kuna wapinzani mpka sasa wanashiliwa na vyombo vya dola kisa tu ni wapinzan walipinga hujuma kwenye uchaguzi je unajua wale wa chama tawala walikamatwa na rushwa takukuru wamewaachia kwamba chama chao ndio kiwaazibu mgombea wa urahisi kambilia kuomba hifadhi ubalozini kwasababu maisha yake yapo hatarini vaene viatu vya kwa siku moja muone
Acha uongo, kama walifanya fujo hao ni wahalifu tu kama waharifu wengine.
Wao kama waliona hizo hujuma wangekusanya ushahidi kisha wapeleke mahakamani.

Hata hivyo bingwa wa sheria ndo huyo anawakimbia badala ya kuwatetea,
Sasa sijui watafanyaje maaana yeye kaanzisha safari tayari ya kukimbia.
 
Upinzani tatizo wanakwama kwenye msimamo wao na mwelekeo Hilo ni kweli, inatakiwa ifike mahali upinzani ijulikane wanataka Tanzania iweje waifikishe kwenye Hali gani kiuchumi (kimaendeleo Kwa sekta zote), n.k wasiwe watu wa kutoa hoja Kwa kutazama madhaifu ya CCM peke yake waseme Mambo mengine mapya pia Kwa kulenga maisha ya wanachi wa aina zote.

Mfano Sera moja wapo nataka kuowaongezea upinzani iwe hii:- nchi ina maziwa makubwa matatu Viktoria,Tanganyika na Nyasa serikali itengeneze plantations Kwa kutoa maji kwenye maziwa (mabomba) mpk kwenye hzo plantations (Kwa ajili ya kilimo) km Brazil, Canada na marekani, ili kuzalisha mazao mengi na yenye bora na kulisha ndani ya nchi na nje ya nchi.

Mfano Lake Tanganyika kufanyike kilimo cha kisasa mfumo wa plantations kutokana na Hali ya hewa ya huko, halafu mazao yalishe Congo, Rwanda na Burundi.
Vilevile kuanzisha mpango madhubuti wa kufuga samaki Kwa wingi na wenye ubora kama norway ,serikali itamiliki maeneo ndani ya Ziwa na itatoa maeneo watu wamiliki na kufanya ufugaji wa samaki na kuuza ndani ya nchi na nje ya nchi.

Ifanyike pia Ziwa Viktoria, ili ilishe Uganda , Rwanda na Kenya na ndani ya nchi.
Ifanyike pia Ziwa Nyasa ili ilishe msumbiji, Zambia na Malawi pamoja na ndani ya nchi.

Miradi hii italeta chachu kubwa ya maendeleo ndani ya nchi, itakuza uchumi wa mtu mmoja mmoja, ajira zitakuwepo na watu watajiajili. Barabara na miji itajengwa na kuendelea, vilevile huduma zitasogea kama za afya,mawasiliano, elimu ,kupata mahitaji kilahisi na kuongeza pato la nchi.

Upinzani wa sasa unawaza kulalamika, haki, kudhulumiwa, kuonewa na katiba mpya wakati Kuna silaha za hoja kama hizo na kujipa matumaini.

Ofcoz kuongea ni rahisi Ila Kwa hili linawezekana kua Jambo halisi, linaweza kufanywa na kuleta faida,na sifa Kwa atakae lisimamia.

Anyway sidharau jitihada za upinzani ila natamani nipate hata nafasi niwe mpinzani niwape watu spana.

By Simon2020.
 
Neno "Mwelekeo" ndio sababu kuu ya Vyama vya upinzani kutokubalika na kuaminiwa kupatiwa Nchi na watanzania.

Uchaguzi wa mwaka 1995 upinzani chini ya NCCR Mageuzi ilibaki kidogo kuchukua nchi chini ya Augostino Lyatonga Mrema, kabla ya watanzania kushtuka dakika za mwishoni baada ya Baba wa Taifa Mwl. Julius K Nyerere kutoa speech kali iliyoonesha Mwelekeo wa CCM na utofauti upinzani ambao walikuwa hawana, KAZI ikaishia kwenye Sanduku la kura ambalo lilimpa ushindi hayati Benjamin W Mkapa wa Chama cha Mapinduzi.

Mwaka 2000 Chama cha wananchi CUF chini ya Profesa Ibrahim Haruna Lipumba kiliibuka kuwa na agenda kali na kukubalika Kwa kiasi na baadhi ya wananchi lakini shida ikabaki palepale Mwelekeo wao kisiasa ni upi? Hadi kutosha kupewa Nchi? Jibu hili lilichakatwa na watalaam ikaonekana bado sio Chama sahihi cha kuchukua Nchi Kwa sababu Nchi sio Miguu kila mtu awe nayo ni zaidi ya hiyo.

Mwaka 2005 Chama cha wananchi tena kilikuwa bado kina nguvu kidogo na hapo hapo CHADEMA wakawa wanaibukia chini ya Freeman Aikael Mbowe aliyekuwa mgombea wao wa Urais na mshindi wa Tatu katika kinyang'anyiro hicho walipimana ubavu na Chama pendwa cha CCM chini ya Jakaya Mrisho Kikwete aliyekuwa anapendeka Sana na wananchi Kwa kipindi hicho kama ilivyo ada CCM ilishinda dhidi ya upinzani tatizo likawa lile lile Mwelekeo wao ni upi?

Mwaka 2010 CHADEMA wakawa na slogan yao ya People's Power na agenda nzuri tu za kukemea Rushwa,ubadhirifu wa Mali za umma na mengine mengi yaliyogusa nyoyo za watanzania chini ya Mtu mwenye Mwelekeo kidogo ya kiuongozi na shupavu wa siasa hapa Nchini Dkt. Wilbroad Peter Slaa ilibaki hivii kupewa Nchi lakini je? Dkt. Wilbroad Peter amezungukwa na watu wa aina gani? Ndio lilikuwa swali muhimu Kwa watanzania!!! Ikajulikana Dkt. Slaa ni mwadilifu lakini kazungukwa na mafisi!! Kazungukwa na Chama ambacho wengi wao wanatiliwa mashaka lakini pia hawana Nia na Mwelekeo mzuri na Taifa hili hapo Sanduku la kura likatoa jibu.

Mwaka 2015 ulikuwa ni kituko zaidi Kwa CHADEMA walimleta mtu Yule waliyekuwa wanawaimanisha ni fisadi mkubwa Nchini na aliyekataliwa na CCM pamoja system zote za Nchi kutokana na history background yake ya kisiasa sio mwingine ni Edward Ngoyai Lowassa!!! Kwa wananchi alionekana Lulu na mkombozi wa matatizo yao lakini wananchi hao hao wakawa na maswali Lowassa ni Nani?? Wakamshangilia dakika za lala salama za kampeni wengi wao wakagutuka wakarudi kuangalia documents na wasifu wa kila mgombea hatimaye mioyo yao ikasema hapana nyumbani ni CCM chini ya Jiwe Dr John Magufuli,, Lowassa akazikwa rasmi kwenye Sanduku la kura sababu ni zile zile Mwelekeo wao ni upi?

Mwaka 2020 CHADEMA Kwa mara nyingine wamejitutumua wakamleta mtu waliyedhani ni mwiba mkali,mtu aliyeponea mauti Kwa risasi Zinazosemekana 16,mwanaharakati na mtu mbishi kuwahi kutokea ambaye kinywa chake kimejaa matusi Kwa viongozi aliokuwa anaenda kuwastaafisha majukumu ya Nchi,vyombo vya ulinzi na usalama ambao kama angeshinda wangeenda kumlinda Kwa mioyo yao yote sio mwingine ni Mwanasheria Tundu Antiphas Lissu,kilichotokea kila mtu anajua watanzania walimfuata katika mikutano yake lengo likiwa ni moja Tu kuona ukuu wa Mungu basi the rest is history, Sanduku la kura lilitoa majibu sababu ni zile zile Mwelekeo wao ni upi??? Nani anapenda kuuzwa mchana kweupe??. TL awe Rais???thubutu!!!! Huwezi kuchagua Giza wakati Nuru bado IPO!!! Wapinzani bado Sana mjipange na mkubali kushirikiana na serikali ili iwape semina ya namna ya kuongoza Nchi!!!


Masinki,mtanzania
Mimi nahisi kilichowaponza wapinzani Wala sio muelekeo wao Bali kuzimiwa mtandao/internet/mawasiliano/network.
 
Back
Top Bottom