Recent content by Newesty ID

  1. N

    Gwajima anapoamua kuwalisha wenzake 'pilau'

    Binafsi nilikuwa namtetea gwajima lakini, bada ya kuona video nikaamua kuunganisha matukio, ile video aliyosimama akijirekodi alikubali kuwa yule ni yeye na alikuwa nyumbani na familia, wale wenye macho mazuri juu kulikuwa kunaonekana net zile za pande nne rangi ya pink na ukutani kulikuwa na...
  2. N

    Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

    Hivi kupata hiyo video hadi uwe na connection au vipi? Mwenye nayo a nitumie pm mana hata siamini
  3. N

    Baba Askofu Gwaj ashukuru sana huu msiba na Hii Ramadhani

    Hebu tuma pm mkuu nihakikishe nahisi kama anasingiziwa
  4. N

    Mjadala: Je, ni sahihi kuweka udhaifu na siri za ex wako hadharani?

    Kwanza ukimwambia mtu siri za ex wako ni sawa na kuvujisha pepa yani unampa majibu ya mtihani ambao hajaanza kuufanya. Kwa hiyo kila mara ataepuka kufanya yaleee ulomwambia kuhusu ex wako na hatakuwa aishi uhalisia wake so pretending zitakuwa nyingi. Ukiachana na mtu alafu ukapata mpya mwambie...
  5. N

    Wakazi wa Mtwara na Lindi, tupeni hali ya hewa na kile kinachojiri

    Mnaotumia hii app mbona naona kinaenda kwa kujisokota hakiwezi panda kweli masasi
  6. N

    Pamoja na msaada wote niliompa bado anatoa wapi ujasiri wa kufanya ujinga kama huu?

    Mwendawazimu, chizi siye na akili kwenye hii stori ni wewe Naacha mke na watoto unatembea na kabinti ka watu Da moto wako naomba uchochewe hata mara buku Fyuuuu
  7. N

    Natafuta mwanamke ambaye nitafunga nae ndoa

    Haha njoo inbox my hubby ushanipata
  8. N

    A matured man needed for marriage

    Ur so cheap, if u can accept a divorced man Again ua Very cheap
  9. N

    Natafuta Mume

    Hahahahaha huyu kila uzi huwa anatoa namba ,kuna uzi alisema ana miaka 39 mwingine ana miaka 42
  10. N

    Natafuta Mume

    Wewe unayo?Tuanzie hapo
  11. N

    Natafuta Mume

    Hahha acha kuwaogopesha wenZio james
  12. N

    Natafuta Mume

    Sawa boy ,pita tu
  13. N

    Natafuta Mume

    Una miaka 39 au 42???
Back
Top Bottom