James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,112
- 13,345
Kwa maana ya post kama hii umemjua?Kwani miandiko si inatofautiana. Watu tunajua kukariri miandiko ya members humu. Ata akija na ID mpya tunajua ni fulani
Kwa maana ya post kama hii umemjua?Kwani miandiko si inatofautiana. Watu tunajua kukariri miandiko ya members humu. Ata akija na ID mpya tunajua ni fulani
Huyu umemfahamu?Mwandiko wake
Utakua kiben tenNimekosa sifa moja tu ya umri nina miaka 24
Yupo sema kaz nying sanaHaina noma chaliangu, vipi shemeji yetu Mbiti mbona hatumuoni siku hizi. Umemficha wapi?
Hahahaaa labda niwe kiben ten wako hamisaUtakua kiben ten
Unaweka namba yako hadharani hivi kweli dunia ina watu na shoesNichek watsup 0625588153.
Wewe unayo?Tuanzie hapoChura unayo ?
Pumbavu acha kujizalilisha mwanaume wa mkoani weweNichek watsup 0625588153.
kwani yeye umejua lengo lake?Hongera kwa kujilipua humu utapata lakini kuwa makini ktk upembuzi.
Nb
Sikupangii lakini unaweza fanya hivi; nenda pale unapoabudu ongea na kiingozi wako juu ya azma yako ya kutaka kuolewa kuwa akuweke ktk maombi. Hili litamfanya akukumbuke siyo ktk sala tuu bali hata inapotokea mtu anataka kuoa anakukumbuka
Kipindi tupo chuo hii mbinu ilitumika sana na watu wengi walio na kuolewa
usimuite boss huyo ndo mumeo mtarajiwa mkuu kuwa na adabu kwa mumeoTunaanzie pm boss