Mara lockdown, Mara kilikwenda kikarudi. Hatua inazochukua serikali zinatosha sana na zinafaa kupongezwa mno. Big up Magufuli kuitisha maombi ya kitaifa. Watu wanasema Corona ni hatari, how? Kwani hadi sasa malaria imeua watu wangapi? Ukimwi he? Hii Corona yenye wagonjwa hata mia hawafiki na...
Bandiko zuri sana.
Hata katika taarifa ya Mh. Ummy mwalimu kuhusu kifo cha mgonjwa wa Covid-19, ile sentensi kuwa alikuwa na maradhi mengine inaleta madhara makubwa sana mtaani katika Juhudi za kupambana na Corona kwa sababu wengi wanaamini kwamba huwezi kufa wala kudhuliwa na covid-19 kama huna...
Milioni 65 mbona inanunua TD amazoni moja tu tena used? Kama ukisema ujenge nyumba basi ni ile ya kawaida sana na kama ni Arusha basi utaishia kununua uwanja tu.
Duu! kuna ukurasa kule facebook unaitwa NDOA YA MFANO, wanaushauri mzuri sana. Niliona post yao kuhusu hii mambo ya wanandoa kutenda mambo kisirisiri; wapitie wanaweza kukupa kitu cha kukusaidia
Chadema wabaya sana, wamefanya hila hadi CCM ikaamua kupanga kuwa madereva warudi kusoma kila baada ya miaka mitatu tena kwa ada ya zaidi ya laki tano. Ona sasa madereva wamekasirika kwa sababu ya maamuzi haya ya serikali kwa hila za CHADEMA. CHADEMA wabaya sana.
Kwa niaba ya CCM ninaomba muichague tena kwa kishindo ifikapo Oktoba. Msikumbuke yale mambo ya Escrow kwa sababu ni wachache tu waliteleza wakachukua zile hela; japo si mnajua hazikua za umma? Hazikuwa za umma kabisa hata mwenyekiti alithibitisha. Huu mgomo wa madereva pia usiwatishe kwa sababu...
Kuna watu wana mpango wa makusudi kabisa kuiangusha CCM kupitia maamuzi yao. Gwajima kupelekwa mahakamani ni sawa ikiwa kuna tuhuma ambazo polisi wamejiridhisha nazo; lakini strategies zinazotumiwa na polisi kushughulikia mambo na hao wanaowaita watuhumiwa zinafanya raia waichukie sana serikali...
Masikini Pinda! Hapo bado dua na albadiri za waislamu zinamfuata nyuma na kuna maombi ya wakristo wakimlilia Mungu ashughulike na wanaochezea amani kupitia udini ili wapate madaraka. Pinda ana wakati mgumu kimwili na kiroho na asiporudi madhabahuni kutubu; laana itamla yeye na kizazi chake...
Hao waliotangaza mimi siwatambui. Nasubiri tarehe 30 nikapige kura ya Hapana, vinginevyo JK aliyenijulisha tarehe ndie aje kutengua. Hebu msinichezee akili, kuhamasisha ahamasishe , mwingine halafu kwa kiherehere aje kuahirisha mwingine, kiaje? Kivipi? Namtaka aliyetutangazia aje kuiahirisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.