Hao wabunge waliotangulia waliokuwa wanaijua vizuri Arusha, wameifanyia nini Arusha? Kama ni kwa wewe binafsi hakufai, basi hakuhusu, kwasababu hatakuwa Mbunge wako binafsi, atakuwa kwa wana Arusha wote. Arusha ilikuwa imeshadumaa, sio kwa utalii au madini au mahusiano ya kimataifa na...
Wanachukua rasilimali zenu kwasababu nyie ni mabwege. Na kuonyesha kwamba ni mabwege zaidi, mnazidi kuwafuata hao hao mnatembeza bakuli kuwaomba hela. Kila siku mnajisifia kwamba mnakopesheka. Sasa tulia hivyo hivyooo. Na bado hamjasema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.