Licha ya uchache wa mabasi yenyewe jumapili wanayapunguza wanaamini watu wengi hawaendi makazini_ ndo hali inazidi kua mbaya
nauli ya kwenda na kurudi kariakoo ni 2100 tofauti ya zamani kabla ya mwendokasi ilikuwa 1000, kifupi wameongeZa shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.