Mimi sio mkamalia, ila inaonyesha hapo umeweka sare ndani ya dakika 10 za kwanza, lakini Kuna mwamba alishinda dakika ya tisa na kuharibu kabisa mipango yako.
Angalia kwenye blacklist labda umeiblock namba Yao.
Halafu ishu ya bill ya Dawasa siyo lazima uende ofisini Kuna application Kama Dawasa na Gepg ambazo unaweza kuangalia bili yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.